Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,017
- 9,885
Mbunge wa zamani wa Morogoro Kusini Mashariki, Semindu Pawa amefariki dunia leo Februari 17
Pawa amewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya CCM na hadi anakutwa na mauti alikuwa mjumbe wa baraza la wazee la CCM