Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,005
Kama hana Umaarufu, kutoka kwake amezoa wanachama wa Magamba 260, kama angekuwa na umaarufu sijui angezoa wangapi? Magamba yakikosa hoja bwana!Lakini mbona juzi alihudhuria mkutano mkuu wa Kizota! au na yeye aliiwakilisha Chadema? Hongera Cdm kwa kupokea makombo ya CCM! huyu mbunge uliemtaja wala hana umaarufu wowote! Jee, sumae nae ameshapewa Kadi?