Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Akiwa CCM ni fisadi, akienda kwingine ni mpiganaji, kama miwani vile
Ametubu dhambi zake na amesamehewa, hata wewe unahitaji kusamehewa dhambi zako!
Akiwa CCM ni fisadi, akienda kwingine ni mpiganaji, kama miwani vile
Lakini mbona juzi alihudhuria mkutano mkuu wa Kizota! au na yeye aliiwakilisha Chadema? Hongera Cdm kwa kupokea makombo ya CCM! huyu mbunge uliemtaja wala hana umaarufu wowote! Jee, sumae nae ameshapewa Kadi?
Padre siku anaungamisha wanasiasa baada ya kushindwa waumini? kazi ipo, Hivi kweli SLAA anaweza kusimama na kusema ni msafi? na akawaungamisha?Ametubu dhambi zake na amesamehewa, hata wewe unahitaji kusamehewa dhambi zako!
Hivi gazeti la uhuru na mzalendo yanasomwa wapi, mbona kwenye mbao za kuuza magazeti siyaoni?
Chadema mekuwa desperate sana mimi nilijua chama chenu mnataka kujenga na damu changa na watu wenye mawazo mapya kumbe ni recycle bin!
chadema nayo kwa kupokeapokea........mmmmh
Sikubaliani nawe mkuu, kwa mawazo yangu ingawa sikulazimishi ukubaliane nayo mtu yeyote akitaka kujiunga na chama fulani hapaswi kuwekewa mizengwe so long as siyo mvurugaji wa chama husika, hivyo damu changa na damu ya zamani zitasogeza mbele juhudi za chama.
Hivi gazeti la uhuru na mzalendo yanasomwa wapi, mbona kwenye mbao za kuuza magazeti siyaoni?
Masikimbi Mbunge wa Kongawa sasa hivi ni nani? Aatkuwa amepata pressure
Lakini mbona juzi alihudhuria mkutano mkuu wa Kizota! au na yeye aliiwakilisha Chadema? Hongera Cdm kwa kupokea makombo ya CCM! huyu mbunge uliemtaja wala hana umaarufu wowote! Jee, sumae nae ameshapewa Kadi?
mi napita
Sikubaliani nawe mkuu, kwa mawazo yangu ingawa sikulazimishi ukubaliane nayo mtu yeyote akitaka kujiunga na chama fulani hapaswi kuwekewa mizengwe so long as siyo mvurugaji wa chama husika, hivyo damu changa na damu ya zamani zitasogeza mbele juhudi za chama.
AH KUMBE MANENO AYA YANATOKA KWA BWANA KAAKILI KADOGO, AH BASI UJINGA TU NDO UMEJAA NA KUTAWALa
Halafu ikifika 2014 mtakuja hapa mnalialia kwamba chama kilichukua mamluki hamkufanya vetting vizuri.
Wengi hatujui maana ya KADA.Comment hii imebeba taswira tofauti..
Moja inaonyesha uchungu na kutokubaliana na ukweli kwamba kada kasepa..
Mbili hiyo hongera inaonyesha mtoa comment alivyoumia kwa kada huyu kusepa..
Na tatu inanikumbusha yale ya Sungura.. cizitaki mbichi hizi...
Hajawahi kuwa mbunge huyo, ndo anakwenda kuusaka sasa, akikosa atajisogeza kwa NCCR.
Wengi hatujui maana ya KADA.
na hao walioungana naye kuhamia CDM nao wapo kwenye R Bin? Kama umesoma vizuri ni zaidi ya vichwa 270! Toka huko Mabwepande, njoo tuikomboe nchi yetu kutoka mikononi mwa Mafisadi!!Chadema mekuwa desperate sana mimi nilijua chama chenu mnataka kujenga na damu changa na watu wenye mawazo mapya kumbe ni recycle bin!