Mbunge wa zamani CCM ajiunga na CHADEMA

Mbunge wa zamani CCM ajiunga na CHADEMA

tunawakarisha CDM ili walete changamoto chanya kuelekea ikulu 2015 siyo mawazo mgando toka kwenye hame lao walilo liacha...
 
Chadema mekuwa desperate sana mimi nilijua chama chenu mnataka kujenga na damu changa na watu wenye mawazo mapya kumbe ni recycle bin!

pumbavu kabisa Mang'ula,Kinana na Mengji ni damu changa?
 
Njoon wote mlio lemewa na mizigo ya uf
isadi mje chadema tuikomboe tanzania
 
Huyu alikuwa mbunge mwaka gani? maana jina lake sijawahi kuliskia!!!

Gideon Senyagwa alikuwa mbunge wa Kongwa tangu 1995, wkt huo George Malima Lubeleje akiwa mbunge wa Mpwapwa, na Prof. Dimon Mwaga akiwa mbunge wa Kibakwe.
 
Chadema mekuwa desperate sana mimi nilijua chama chenu mnataka kujenga na damu changa na watu wenye mawazo mapya kumbe ni recycle bin!
Sasa wale ambao tumewahi kujiunga na ccm kwa vile tulikiamini na sasa kimetu disappoint tufanyeje? Twende wapi? Tunaona mkombozi ni Cdm
 
itafikia mahalai tutaanza hesabu wanahamia CDM wangapai kwa wiki,Ndipo CCM watamaliza vibwagizo vyao kuwa ni magamba,kwani watajikutw awatu wakiwauliza mbona presidaa alishtangaza kushindwa kutoa magamba,sasa anataka wakate ndimi.
 
Molemo
Alikuwa mbunge mwaka gani 1975? Jina silikumbuki kabisa, mkuu angalia hii okoteza okoteza yenu angalieni msije mkaokota vichaa wa Mirembwe!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Inabidi Chadema wawe macho na watu kama hawa..........
Wakikosa dili CCM wanaona pa kukimbilia Chadema
Siku wakiona hakuna walichopata baada ya kukimbilia watauleta mtafaruku
 
Gagulo la CCM kwa CDM ni gauni la kutokea.
 
Swala la kupokea halina shida maana ndio siasa yenyewe lakini CDM wanapaswa kuwa makini sana isije kutokea kama yaliyoikuta NCCR miaka 1995 kuingia 2000.VIVA CDM!!
 
Chadema mekuwa desperate sana mimi nilijua chama chenu mnataka kujenga na damu changa na watu wenye mawazo mapya kumbe ni recycle bin!

Nani kakudanganya kuwa 'recycled material' huwa haina ubora na haitumiki tena? Mbona Mzee MANGULA amekuwa "jiwe kuula pembeni" baada ya kutelekezwa kwa muda murefu na kwenda kulima VIAZI huko njombe?
 
Karibu Mzee Gideon Senyagwa, karibu kwenye mapambano................ uzee dawa
 
Back
Top Bottom