Mbunge wa Ukonga, Chacha Waitara kazi imekushinda

Waitara alipata ubunge sababu ya upepo wa mageuzi, ikumbukwe vyama viliungana kuing'oa ccm na ushawish mkubwa Wa Mzee lowasa
Waitara alitoboa sababu ya watu wa ccm kuamua kumkataa kabisa silaaa mana alikatwa kanjibai kipenzi cha hao wanaccm akapitishwa slaaa kwahiyo waitara alipata kura za hasira za hao wanaccm wallahk nakuhakikishia waitara akirudi kuwa mbunge nitakunya kwa mafungu toka Dar hadi TARIME.
 
Ukonga hakina Mbunge anayeitwa Chacha Waitara... Pili Mbunge hakusanyi kodi ya Ukonga, kama wanaokusanya kodi ndani ya mwaka Mmoja tu 1.5T hazionekani na huenda zimenywewa Pombe na watu wa aina yako unategemea kitu gani?

Pili wabunge upinzani hawafanyi kazi zao kwa kelele za MaCCM kwani tangu Uhuru hadi 2015 Jimbo LA Ukonga likikuwa mikononi mwa MaCCM.

Ukonga zimejengwa Shule za msingi zaidi 15 ndani ya miaka miwili ya Mbunge Waitara.

Msongamano wa watoto umepungua kutoka 150-200 Kwa darasa moja hadi Chini ya Mwanafunzi 70, mbona hamusemi...

Leo 2018 ndiyo mmegundua UKONGA inahitaji Barbara wakati miaka 50 tangu Uhuru mmelala.

Nendeni mtuambie 1.5T ikowapi?
HIZO SHULE ZIMEJENGWA KATIKA KAMPENI YA MZEE MAGUFULI KUONGEZA MADAWATI NA VYUMBA VYA MADARASA MFANO KULE GONGO LA MBOTO JESHINI NA SIO NGUVU YA WAITARA..

MFANO SASA HIVI MAKONDA ANAJENGA NYUMBA ZA WALIMU NA OFISI WAITARA YUPO NA SIASA ZA CHADEMA NA CHUKI KWA CCM..

2020 HAWEZI RUDI NA SISI NDO WANYWA POMBE TUKIAMUA SISI NYIE WANYWA SODA HAMUWEZI
 
Waitara 2020 jerry anarudishiwa jimbo tena msihangaike hata kulligawa , jerry malizia plan zako
 
Waitara alitoboa sababu ya watu wa ccm kuamua kumkataa kabisa silaaa mana alikatwa kanjibai kipenzi cha hao wanaccm akapitishwa slaaa kwahiyo waitara alipata kura za hasira za hao wanaccm wallahk nakuhakikishia waitara akirudi kuwa mbunge nitakunya kwa mafungu toka Dar hadi TARIME.
HAHAHA hayo mavi yote utayapata wapui mkuu
 
Waitara alitoboa sababu ya watu wa ccm kuamua kumkataa kabisa silaaa mana alikatwa kanjibai kipenzi cha hao wanaccm akapitishwa slaaa kwahiyo waitara alipata kura za hasira za hao wanaccm wallahk nakuhakikishia waitara akirudi kuwa mbunge nitakunya kwa mafungu toka Dar hadi TARIME.
Hahaha nimecheka
 
Kweli alikuwa mzigo, nazani alianza hujuma kwa upinzani muda mrefu tu, ndio hao sleeping agents.
 
HABARINI WANANDUGU,

NILIANZISHAGA MJADALA WA WAITARA na sisi wanywa pombe pale uwanja mpana relini, masika, luko, uefa na viunga vya ukonga tumefarijika baada ya waitara kujiondoa kabla ya 2020...Narudia tena ukiwa masikini huwezi ongoza jimbo la ukonga mana hata pesa za maendeleo ya jimbo utataka kuzitolea macho...Hongera Waitara kwa kufanya maamuzi sahihi kabisa..

SASA ajiandae Sheikh Mwaipopo lazima atoke udiwani pale ukonga, kwasasa hatuhitaji porojo tunataka utekelezaji,

Karibuni Pombe pale uwanja mpana leo tarehe 31/7/2018 ya kufurahia kuachia ngazi kwa Ndugu Kamanda Mwita Mwikabe Waitara
 
Huyu jamaa hafai, ila ni mwiko kuwapa jimbo ccm, ccm ni mkosi kwa Taifa.

Vyama mbadala vichuje vizuri wagombea wamlete mgombea mwingine huyu jamaa hana uwezo naunga mkono hoja.
Tulishambaini huyu paka kitambo tu.
 
Back
Top Bottom