NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 233
- Thread starter
- #81
Waitara alitoboa sababu ya watu wa ccm kuamua kumkataa kabisa silaaa mana alikatwa kanjibai kipenzi cha hao wanaccm akapitishwa slaaa kwahiyo waitara alipata kura za hasira za hao wanaccm wallahk nakuhakikishia waitara akirudi kuwa mbunge nitakunya kwa mafungu toka Dar hadi TARIME.Waitara alipata ubunge sababu ya upepo wa mageuzi, ikumbukwe vyama viliungana kuing'oa ccm na ushawish mkubwa Wa Mzee lowasa