Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Ndugai ni Pimbi wa kutupa anamdanganya nani sijui?
Ndiyo! Lile furushi ulilobeba kwenda nalo segerea ukijidai ni nguo za kubadilisha za Msigwa kumbe ni pesa za kumhonga Msigwa tuliliona na ndio maana tulikutimua!
Kwanini unapendaga kubeba mabegi ya pesa kwenye gari yako Kama wanunuzi wa ngo'mbe mnadani za Nini? Una biashara ya bucha?
Tarime na ushujaa wa kutolewa golikipaHuyo ni mwanamke wa Tarime sio muoga kama kunguru.
Shauri watu wanaondena na wewe akili!!
Hivi ww jamaa hawakuoni wakakupa teuzi ?? mpaka wanarudia waliotumbuliwaMatiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza
Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Matiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza
Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Naelewa kuliko wewe unayeingiza ushabiki.
Matiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza
Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Uwaite jinsi utakavyomuita mchato!Huyu bi mdashi Yuko vizuri na majibu yake yameeleweka, kumbe bado Yuko kwenye kituo Chake Cha kazi kwa Sasa.
Swali; anawazungumziaje Zitto, Msigwa na Wabunge wote waliokiri kuwa kwa Sasa wako Dar ambako sio vituo vyao vya kazi kwa Sasa japo wamepokea perdiem ? Tuwaite wezi wa rejareja wa fedha za umma?
nawaonea wivu sana, kumbe mnakula mamilioni hivyo???????..ndio maana mnapishana kwa waganga na kuuana na visa kibao, kumbe mnaata mamilioni hivyo alafu mnakimbia kujiajiri...mnawashauri wasio hata na mitaji kuwa wajiajiri..hatari.
Nikipata fursa nakuja kugombea ubunge jimbo lolote nchini hahaha
Ungeenda kuwachapa wahuni wa chadema waliochukua posho halafu wanashinda bar badala ya kuwa bungeniWewe jamaa tungekua karibu ningekuchapa vibao viwili vya maana ili akili yako iamke
Sent using Jamii Forums mobile app
.Umeona mbunge mwanamke wa Chadema alivyomwaga nondo za maana umekubali.Matiko mmoja ni sawa na wabunge 62 wa ccm.Kubali tu kuwa nchi hii bila upinzani itakufa kifo cha mende.Angalia mbunge Jangili atakavyotetewa na serikali dhalimu ya awamu ya tano.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni heli kufaa kama Simba KULIKO kuishi kama paka PERIODMatiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza
Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Usipokufa kisiasa bado tu utakufa kiroho sasa umekwepa nini. Bogus.Matiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza
Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga
Huyo ni mwanamke wa Tarime sio muoga kama kunguru.
Shauri watu wanaondena na wewe akili!!
sasa ndio nimeelewa aiseee, kumbe utajiri upo nje nje kama utapitaNdio maana mh spika alimzimisha mtu kwa rungu
Nenda kafumuliwe kijambio chako,huo mshauri mpe mumeoMatiko acha kuwaiga kina Mdee na Bulaya watakupoteza
Wewe unaustaarabu jistukie utakufa kisiasa ukiendelea kuwaiga