Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Ulisema Wewe unawageuza wanaume Wenzako Mkuu,
Sasa Najiuliza lini mtu punga akawa smart
Au Ndio na mapunga hujiita smart ?
Kwasababu hii I'd yako ni ngeni Mkuu Mimi sikufahamu
Nambie unauzoefu wa miaka mingapi kwenye upunga
Sasa Najiuliza lini mtu punga akawa smart
Au Ndio na mapunga hujiita smart ?
Kwasababu hii I'd yako ni ngeni Mkuu Mimi sikufahamu
Nambie unauzoefu wa miaka mingapi kwenye upunga
Ha ha ha,we jamaa first sijajiita punga japo unainsist nimejiita punga,
Pili,what does being punga have to do with being smart?
It doesn't relate,get that fact in your small mind