Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko amjibu Spika Ndugai kuhusu kurudisha Posho

ANAANDIKA MHE. ESTHER MATIKO (MB) AKIFAFANUA KWENYE KUNDI LA WHATSAPP LA TARIME ISHI NA MIMI

Bora ucheke Mdogo wangu..!
Hii nchi ni ya ajabu sana...! Juzi niliandika hapa posho zetu kama Michango nikaweka ( Perdiem 120,000/= n sitting 220,000/=) jumla 340,000/=. Maana hatuingii bungeni tupo karantini jamani pamoja Na kujichunguza afya..!

Mhe Spika anasema tumechukua posho...😳!

Posho ya kujikimu wanadai kutuwekea tarehe 1/5/2020 tukiwa karantini? Sijui Nini kipo nyuma ya pazia?

Kwa kawaida posho ya kujikimu huwa tunajaza form ndipo unaingiziwa kwenye account yako..! Na Tumekuwa tunafanya hivyo siku zote. Jana nimeshtuka kusikia eti kuna posho tumeingiziwa Maana sijaenda bank nipo karantini hapa Dodoma sitoki hata nje..! Kwa hiyo sijui kama kweli ama lah.

Kwa hiyo tumeingiziwa posho Za kujikimu bila kusaini? Upendo wa agape huu...! Ambao ghafla tulioingiziwa Fedha Za kujikimu bila kujua tunaitwa wezi? Hapa wanasheria waje watusaidie.

Turudi kwenye uhalisia. Let us assume Yaani tufanye wabunge wa Chadema walijaza form ya posho ya kujikimu( perdiem) Na kusaini labda tarehe 28/4/2020 kwa siku 16. Na hivyo siku 14 kuwa za karantini..! Sasa uhalali wa Mhe Spika kusema turudishe posho ya kujikimu unatoka wapi? Maana sio posho ya kikao kwamba umelipwa bila kuhudhulia?

Hii ni posho ambayo unalipwa kulipia hotel/ chakula n.k. Ukiwa kwenye kituo cha Kazi ambacho ni Dodoma. Sote Twajua matumizi ya perdiem..! Na wabunge wapo Dodoma kwenye karantini Lkn wanafanya majukumu yao mengine ya kibunge kwa njia ya mtandao sio lazima wawepo bungeni.

Kuna wabunge wengi sana wa CCM hujaza form Za hii posho siku ya kwanza Na kuondoka..! Je alishawataka kurudisha hizo Fedha tunawajuwa tena kwa majina. Ni dhahiri hajawahi Na hawezi kwakuwa hizi si posho Za kitako ( sitting allowance) bali ni posho ya ambayo hulipia Malazi Na chakula.

Niseme tu nimesikitika sana kwa hili , inaonekana kuna hidden agenda..! Probably more to come as he said it yesterday...!

Binafsi nafuata masharti ya matabibu ( wataalam wa afya)Najitenga na kujichunguza afya yangu. Marehemu Mhe Ndassa alikuwa Kaka yangu Na rafiki wa kweli kwangu , karibia kila siku nilikuwa naenda kwenye kiti jirani na kuteta naye hata siku Mbili kabla ya umauti wake. Hivyo lazima nijitenge kwa Muda.

Kwangu mimi afya yangu Na ya wale ninao wazunguka ni Muhimu sana kuliko hizo posho.! Kwa Miaka miwili tulikuwa kwa asilimia 80 tupo mhakamani wakati wa Bunge la bajeti sikuona walau hata barua ya Bunge ikiomba mahakama walau wazingatie vikao Vya Bunge Na kufanya kila baada ya siku 14 au mwezi..! Tuliweza poteza posho ya vika Zaidi ya siku 200 kwa wabunge Saba wa Chadema tuliokuwa Na kesi ( Mhe Mbowe, Mnyika, Heche, Mdee, Bulaya, Msigwa Na mimi). Ambapo posho Za vikao tu ni 220,000 * 200 ni 44,000,000/= (44ml).

Nilipelekwa gerezani kwa hilasiku 104 hapa napo nilikosa mamilioni ya shilingi, nilikosa fursa ya kuwawakilisha Wananchi wangu bungeni Na nje ya Bunge. Ijulikane tu nilifutiwa dhamana ambapo nilikuwa nimetumwa Na Bunge Kwenda Burundi , lakini sikuona Bunge wakinitetea ? Leo Nipo karantini kwa tahadhari huku nikiendelea na shughuli zangu Za uwakilishi shida ipo wapi? Maana gerezani ni total lockdown hamna hata mawasiliano.

Jana tu tulifanya kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo, ili kupitia bakaa ya 12.5ml ya tuliyopeleka kwenye Ujenzi wa Choo shule ya sekondari Tagota .

Tulifanya Teleconference na wajumbe na kufikia maamuzi kuwa Tshs. 2.5ml ziende kwenye manunuzi ya samani Za ofisi ya walimu ikiwemo partition ya ofisi. Maana nilipotembelea mwezi wa tatu . Nilikuta Walimu wote wapo kwenye darasa moja lilowazi hata Mwl Mkuu. Na Kilio kikubwa kilikuwa uboreshwaji wa Hiyo ofisi.

Hivyo hizi hisia hasi Na kuonekana tupo mikoani tunadhurula sio sahihi..!

Nasikitika tu kuwa hata tukiwa bungeni kwa ufinyu wa muda hatupati fursa ya kuchangia. Maana ya saa 4 tu Za kuwasilisha hotuba ya wizara, Kamati ya Bunge, hotuba ya upinzani , Michango ya wabunge, majibu ya mawaziri, hitimisho la Mtoa Hoja.......?πŸ€”

Hapa nakuachia wewe mwananchi uone kama wawakilishi wako tunakutendea haki. Unakuta upande wa Chadema wanapata watu wawili tu au mmoja wizara labda wagawane dakika tano .

Nilitarajia Bunge liende hadi July na Vikao vifanyike hadi Jumamosi. Maana tulipunguza masaa ya kikao kutoka saa nane kwa siku hadi saa 4 kwa siku .

Hivyo tungeweka wizara ya siku moja ya zamani kuwa siku 2, Na Za siku 2 kuwa siku 4. Lkn imekuwa kinyume ya wizara zilizokuwa Za siku 2( saa 16 sasa ni saa 4 siku 1, siku 3 saa 24 sasa Ni saa 4 siku 1 na ya siku 1 saa 8 zamani ni saa 4 siku 1 ya sasa. Bajeti Kuu ya serikali ilikuwa siku 6 saa 48 sasa Ni siku 2 Yaani saa 8πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Nilidhani mngepiga kelele Bunge lisifupishwe ili wawakilishi wenu wajadili draft Za bajeti Za serikali kwa kina kuliko kinachofanyika sasa..’!

Huwa kila siku nashauri humu Tarime Ishi Na Mimi ..! Tuweke itikadi zetu pembeni, ili tuwe Huru kuchambua mambo kwa jicho la tatu. Bila kufanya hivyo tunaliangamiza taifa.

Wana CCM mnauwanja mpana sana kushauri kwenye vikao vyenu. Maana kwa sasa nyie ndo mmpewa ridhaa na wananchi, ya kukusanya kodi Na kupeleka maendeleo. Nawaomba sana mtambue jukumu lenu . Naona Mmekuwa mkikwepa majukumu yenu kwa kuitafutia Chadema ubaya...!

Tushikamane tuijenge Tarime Yetu.!

Mungu awabariki..!

Corona Ipo, Corona inauwa..! Tuchukue tahadhari.!πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Esther Matiko (Mb)
Tarime Mjini.
Iron Lady (Tz) Margaret T
 
ANAANDIKA MHE. ESTHER MATIKO (MB) AKIFAFANUA KWENYE KUNDI LA WHATSAPP LA TARIME ISHI NA MIMI

Bora ucheke Mdogo wangu..!
Hii nchi ni ya ajabu sana...! Juzi niliandika hapa posho zetu kama Michango nikaweka ( Perdiem 120,000/= n sitting 220,000/=) jumla 340,000/=. Maana hatuingii bungeni tupo karantini jamani pamoja Na kujichunguza afya..!

Mhe Spika anasema tumechukua posho...😳!

Posho ya kujikimu wanadai kutuwekea tarehe 1/5/2020 tukiwa karantini? Sijui Nini kipo nyuma ya pazia?

Kwa kawaida posho ya kujikimu huwa tunajaza form ndipo unaingiziwa kwenye account yako..! Na Tumekuwa tunafanya hivyo siku zote. Jana nimeshtuka kusikia eti kuna posho tumeingiziwa Maana sijaenda bank nipo karantini hapa Dodoma sitoki hata nje..! Kwa hiyo sijui kama kweli ama lah.

Kwa hiyo tumeingiziwa posho Za kujikimu bila kusaini? Upendo wa agape huu...! Ambao ghafla tulioingiziwa Fedha Za kujikimu bila kujua tunaitwa wezi? Hapa wanasheria waje watusaidie.

Turudi kwenye uhalisia. Let us assume Yaani tufanye wabunge wa Chadema walijaza form ya posho ya kujikimu( perdiem) Na kusaini labda tarehe 28/4/2020 kwa siku 16. Na hivyo siku 14 kuwa za karantini..! Sasa uhalali wa Mhe Spika kusema turudishe posho ya kujikimu unatoka wapi? Maana sio posho ya kikao kwamba umelipwa bila kuhudhulia?

Hii ni posho ambayo unalipwa kulipia hotel/ chakula n.k. Ukiwa kwenye kituo cha Kazi ambacho ni Dodoma. Sote Twajua matumizi ya perdiem..! Na wabunge wapo Dodoma kwenye karantini Lkn wanafanya majukumu yao mengine ya kibunge kwa njia ya mtandao sio lazima wawepo bungeni.

Kuna wabunge wengi sana wa CCM hujaza form Za hii posho siku ya kwanza Na kuondoka..! Je alishawataka kurudisha hizo Fedha tunawajuwa tena kwa majina. Ni dhahiri hajawahi Na hawezi kwakuwa hizi si posho Za kitako ( sitting allowance) bali ni posho ya ambayo hulipia Malazi Na chakula.

Niseme tu nimesikitika sana kwa hili , inaonekana kuna hidden agenda..! Probably more to come as he said it yesterday...!

Binafsi nafuata masharti ya matabibu ( wataalam wa afya)Najitenga na kujichunguza afya yangu. Marehemu Mhe Ndassa alikuwa Kaka yangu Na rafiki wa kweli kwangu , karibia kila siku nilikuwa naenda kwenye kiti jirani na kuteta naye hata siku Mbili kabla ya umauti wake. Hivyo lazima nijitenge kwa Muda.

Kwangu mimi afya yangu Na ya wale ninao wazunguka ni Muhimu sana kuliko hizo posho.! Kwa Miaka miwili tulikuwa kwa asilimia 80 tupo mhakamani wakati wa Bunge la bajeti sikuona walau hata barua ya Bunge ikiomba mahakama walau wazingatie vikao Vya Bunge Na kufanya kila baada ya siku 14 au mwezi..! Tuliweza poteza posho ya vika Zaidi ya siku 200 kwa wabunge Saba wa Chadema tuliokuwa Na kesi ( Mhe Mbowe, Mnyika, Heche, Mdee, Bulaya, Msigwa Na mimi). Ambapo posho Za vikao tu ni 220,000 * 200 ni 44,000,000/= (44ml).

Nilipelekwa gerezani kwa hilasiku 104 hapa napo nilikosa mamilioni ya shilingi, nilikosa fursa ya kuwawakilisha Wananchi wangu bungeni Na nje ya Bunge. Ijulikane tu nilifutiwa dhamana ambapo nilikuwa nimetumwa Na Bunge Kwenda Burundi , lakini sikuona Bunge wakinitetea ? Leo Nipo karantini kwa tahadhari huku nikiendelea na shughuli zangu Za uwakilishi shida ipo wapi? Maana gerezani ni total lockdown hamna hata mawasiliano.

Jana tu tulifanya kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo, ili kupitia bakaa ya 12.5ml ya tuliyopeleka kwenye Ujenzi wa Choo shule ya sekondari Tagota .

Tulifanya Teleconference na wajumbe na kufikia maamuzi kuwa Tshs. 2.5ml ziende kwenye manunuzi ya samani Za ofisi ya walimu ikiwemo partition ya ofisi. Maana nilipotembelea mwezi wa tatu . Nilikuta Walimu wote wapo kwenye darasa moja lilowazi hata Mwl Mkuu. Na Kilio kikubwa kilikuwa uboreshwaji wa Hiyo ofisi.

Hivyo hizi hisia hasi Na kuonekana tupo mikoani tunadhurula sio sahihi..!

Nasikitika tu kuwa hata tukiwa bungeni kwa ufinyu wa muda hatupati fursa ya kuchangia. Maana ya saa 4 tu Za kuwasilisha hotuba ya wizara, Kamati ya Bunge, hotuba ya upinzani , Michango ya wabunge, majibu ya mawaziri, hitimisho la Mtoa Hoja.......?πŸ€”

Hapa nakuachia wewe mwananchi uone kama wawakilishi wako tunakutendea haki. Unakuta upande wa Chadema wanapata watu wawili tu au mmoja wizara labda wagawane dakika tano .

Nilitarajia Bunge liende hadi July na Vikao vifanyike hadi Jumamosi. Maana tulipunguza masaa ya kikao kutoka saa nane kwa siku hadi saa 4 kwa siku .

Hivyo tungeweka wizara ya siku moja ya zamani kuwa siku 2, Na Za siku 2 kuwa siku 4. Lkn imekuwa kinyume ya wizara zilizokuwa Za siku 2( saa 16 sasa ni saa 4 siku 1, siku 3 saa 24 sasa Ni saa 4 siku 1 na ya siku 1 saa 8 zamani ni saa 4 siku 1 ya sasa. Bajeti Kuu ya serikali ilikuwa siku 6 saa 48 sasa Ni siku 2 Yaani saa 8πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Nilidhani mngepiga kelele Bunge lisifupishwe ili wawakilishi wenu wajadili draft Za bajeti Za serikali kwa kina kuliko kinachofanyika sasa..’!

Huwa kila siku nashauri humu Tarime Ishi Na Mimi ..! Tuweke itikadi zetu pembeni, ili tuwe Huru kuchambua mambo kwa jicho la tatu. Bila kufanya hivyo tunaliangamiza taifa.

Wana CCM mnauwanja mpana sana kushauri kwenye vikao vyenu. Maana kwa sasa nyie ndo mmpewa ridhaa na wananchi, ya kukusanya kodi Na kupeleka maendeleo. Nawaomba sana mtambue jukumu lenu . Naona Mmekuwa mkikwepa majukumu yenu kwa kuitafutia Chadema ubaya...!

Tushikamane tuijenge Tarime Yetu.!

Mungu awabariki..!

Corona Ipo, Corona inauwa..! Tuchukue tahadhari.!πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Esther Matiko (Mb)
Tarime Mjini.

Esther Matiko,
Hakika wewe ni Mwanamke kinara.Wewe ni Iron Lady wa Tz!
Nyeusi ni nyeusi siyo nyeupe Wala koleo siyo kijiko kikubwa.....kudadek CCM!
 
Matiko tulimtoa pale UDSM kitengo cha Political Science and Sociology akiwa binti mdogo tena akiwa lecturer msaidizi. Tumemkuza kisiasa na kiimani.
Bila kusahau kumgegeda vya kutosha
 
Hili sakata LA posho Na malipo ya wabunge tungekuwa tupo makin tungegundua Vingi sana.hili bunge Lina uvundo mkubwa sana Wa ufisadi.yaani inaonekana tabia ya kusaini tu maposho Na kuondoka imekomaa.Hivi wako wapi kina muhongo Na yule mkono? huenda wanakwenda tu kupokea maposho Na kusepa.
Hawaendi kupokea mkuu. Wanaingiziwa kwenye akaunti zao. Wao wanaenda kujaza fomu kisha wanaondoka wanasubiria akaunti zicheke. Dah Raha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa kumbe kuangalia hela kama zimeingia lazima mtu aende bank
Kiukweli kabisaaa
Nilikuwa silijui hilo


Sent from my iPhone using Tapatalk
sio wote wamejiunga na SIM Banking wewe unadhani unajiunga tu bila kufuatata taratibu ikiwepo kujaza fomu benki
 
Nimesoma kwenye mitandao mbali mbali kuwa Spika wa Bunge letu ameagiza kuwa wabunge wote waliolipwa posho zao na wabunge hao kutohudhuria bungeni warudishe fedha zote walizolipwa kama posho.
Binafsi najiuliza waliwezaje kufanya malipo hayo wakati watu hawapo kazini?Ninacho fahamu malipo yoyote hufanyika baada ya kazi husika kukamilika,na lazima kusaini nyaraka mbali mbali, sasa hawa walilipwaje bila kutimiza taratibu Hizi?
Kama aliyosema spika ni ya kweli,basi Busara ya kawaida aachie ngazi manake inaonekana huko bungeni kutakuwa na ufujaji Mkubwa wa fedha za Umma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANAANDIKA MHE. ESTHER MATIKO (MB) AKIFAFANUA KWENYE KUNDI LA WHATSAPP LA TARIME ISHI NA MIMI

Bora ucheke Mdogo wangu..!
Hii nchi ni ya ajabu sana...! Juzi niliandika hapa posho zetu kama Michango nikaweka ( Perdiem 120,000/= n sitting 220,000/=) jumla 340,000/=. Maana hatuingii bungeni tupo karantini jamani pamoja Na kujichunguza afya..!

Mhe Spika anasema tumechukua posho...😳!

Posho ya kujikimu wanadai kutuwekea tarehe 1/5/2020 tukiwa karantini? Sijui Nini kipo nyuma ya pazia?

Kwa kawaida posho ya kujikimu huwa tunajaza form ndipo unaingiziwa kwenye account yako..! Na Tumekuwa tunafanya hivyo siku zote. Jana nimeshtuka kusikia eti kuna posho tumeingiziwa Maana sijaenda bank nipo karantini hapa Dodoma sitoki hata nje..! Kwa hiyo sijui kama kweli ama lah.

Kwa hiyo tumeingiziwa posho Za kujikimu bila kusaini? Upendo wa agape huu...! Ambao ghafla tulioingiziwa Fedha Za kujikimu bila kujua tunaitwa wezi? Hapa wanasheria waje watusaidie.

Turudi kwenye uhalisia. Let us assume Yaani tufanye wabunge wa Chadema walijaza form ya posho ya kujikimu( perdiem) Na kusaini labda tarehe 28/4/2020 kwa siku 16. Na hivyo siku 14 kuwa za karantini..! Sasa uhalali wa Mhe Spika kusema turudishe posho ya kujikimu unatoka wapi? Maana sio posho ya kikao kwamba umelipwa bila kuhudhulia?

Hii ni posho ambayo unalipwa kulipia hotel/ chakula n.k. Ukiwa kwenye kituo cha Kazi ambacho ni Dodoma. Sote Twajua matumizi ya perdiem..! Na wabunge wapo Dodoma kwenye karantini Lkn wanafanya majukumu yao mengine ya kibunge kwa njia ya mtandao sio lazima wawepo bungeni.

Kuna wabunge wengi sana wa CCM hujaza form Za hii posho siku ya kwanza Na kuondoka..! Je alishawataka kurudisha hizo Fedha tunawajuwa tena kwa majina. Ni dhahiri hajawahi Na hawezi kwakuwa hizi si posho Za kitako ( sitting allowance) bali ni posho ya ambayo hulipia Malazi Na chakula.

Niseme tu nimesikitika sana kwa hili , inaonekana kuna hidden agenda..! Probably more to come as he said it yesterday...!

Binafsi nafuata masharti ya matabibu ( wataalam wa afya)Najitenga na kujichunguza afya yangu. Marehemu Mhe Ndassa alikuwa Kaka yangu Na rafiki wa kweli kwangu , karibia kila siku nilikuwa naenda kwenye kiti jirani na kuteta naye hata siku Mbili kabla ya umauti wake. Hivyo lazima nijitenge kwa Muda.

Kwangu mimi afya yangu Na ya wale ninao wazunguka ni Muhimu sana kuliko hizo posho.! Kwa Miaka miwili tulikuwa kwa asilimia 80 tupo mhakamani wakati wa Bunge la bajeti sikuona walau hata barua ya Bunge ikiomba mahakama walau wazingatie vikao Vya Bunge Na kufanya kila baada ya siku 14 au mwezi..! Tuliweza poteza posho ya vika Zaidi ya siku 200 kwa wabunge Saba wa Chadema tuliokuwa Na kesi ( Mhe Mbowe, Mnyika, Heche, Mdee, Bulaya, Msigwa Na mimi). Ambapo posho Za vikao tu ni 220,000 * 200 ni 44,000,000/= (44ml).

Nilipelekwa gerezani kwa hilasiku 104 hapa napo nilikosa mamilioni ya shilingi, nilikosa fursa ya kuwawakilisha Wananchi wangu bungeni Na nje ya Bunge. Ijulikane tu nilifutiwa dhamana ambapo nilikuwa nimetumwa Na Bunge Kwenda Burundi , lakini sikuona Bunge wakinitetea ? Leo Nipo karantini kwa tahadhari huku nikiendelea na shughuli zangu Za uwakilishi shida ipo wapi? Maana gerezani ni total lockdown hamna hata mawasiliano.

Jana tu tulifanya kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo, ili kupitia bakaa ya 12.5ml ya tuliyopeleka kwenye Ujenzi wa Choo shule ya sekondari Tagota .

Tulifanya Teleconference na wajumbe na kufikia maamuzi kuwa Tshs. 2.5ml ziende kwenye manunuzi ya samani Za ofisi ya walimu ikiwemo partition ya ofisi. Maana nilipotembelea mwezi wa tatu . Nilikuta Walimu wote wapo kwenye darasa moja lilowazi hata Mwl Mkuu. Na Kilio kikubwa kilikuwa uboreshwaji wa Hiyo ofisi.

Hivyo hizi hisia hasi Na kuonekana tupo mikoani tunadhurula sio sahihi..!

Nasikitika tu kuwa hata tukiwa bungeni kwa ufinyu wa muda hatupati fursa ya kuchangia. Maana ya saa 4 tu Za kuwasilisha hotuba ya wizara, Kamati ya Bunge, hotuba ya upinzani , Michango ya wabunge, majibu ya mawaziri, hitimisho la Mtoa Hoja.......?πŸ€”

Hapa nakuachia wewe mwananchi uone kama wawakilishi wako tunakutendea haki. Unakuta upande wa Chadema wanapata watu wawili tu au mmoja wizara labda wagawane dakika tano .

Nilitarajia Bunge liende hadi July na Vikao vifanyike hadi Jumamosi. Maana tulipunguza masaa ya kikao kutoka saa nane kwa siku hadi saa 4 kwa siku .

Hivyo tungeweka wizara ya siku moja ya zamani kuwa siku 2, Na Za siku 2 kuwa siku 4. Lkn imekuwa kinyume ya wizara zilizokuwa Za siku 2( saa 16 sasa ni saa 4 siku 1, siku 3 saa 24 sasa Ni saa 4 siku 1 na ya siku 1 saa 8 zamani ni saa 4 siku 1 ya sasa. Bajeti Kuu ya serikali ilikuwa siku 6 saa 48 sasa Ni siku 2 Yaani saa 8πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Nilidhani mngepiga kelele Bunge lisifupishwe ili wawakilishi wenu wajadili draft Za bajeti Za serikali kwa kina kuliko kinachofanyika sasa..’!

Huwa kila siku nashauri humu Tarime Ishi Na Mimi ..! Tuweke itikadi zetu pembeni, ili tuwe Huru kuchambua mambo kwa jicho la tatu. Bila kufanya hivyo tunaliangamiza taifa.

Wana CCM mnauwanja mpana sana kushauri kwenye vikao vyenu. Maana kwa sasa nyie ndo mmpewa ridhaa na wananchi, ya kukusanya kodi Na kupeleka maendeleo. Nawaomba sana mtambue jukumu lenu . Naona Mmekuwa mkikwepa majukumu yenu kwa kuitafutia Chadema ubaya...!

Tushikamane tuijenge Tarime Yetu.!

Mungu awabariki..!

Corona Ipo, Corona inauwa..! Tuchukue tahadhari.!πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Esther Matiko (Mb)
Tarime Mjini.
Mwambie huyo Esther wako kwamba, inapokuja kwenye suala la pesa, hakuna Mbunge anayepata huruma ya wananchi, kwa sababu hakuna mwananchi wa kawaida anayekubaliana na malipo yao. Huo ni wizi na hata akinyang'anywa zote, hakuna anayeona huruma.

Hakuna kazi ya maana wanayoifanya kuhalalisha malipo makubwa kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom