mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Warudishe Kodi zetu wasitafute huruma ya wanainchiMwambie huyo Esther wako kwamba, inapokuja kwenye suala la pesa, hakuna Mbunge anayepata huruma ya wananchi, kwa sababu hakuna mwananchi wa kawaida anayekubaliana na malipo yao. Huo ni wizi na hata akinyang'anywa zote, hakuna anayeona huruma.
Hakuna kazi ya maana wanayoifanya kuhalalisha malipo makubwa kiasi hicho.