Kaolewa na babu fulani ana mapene hatari, ila kazaa watoto wawili na Salum Mwalimu wa CHADEMA. Sema demu kichwa hesabu imelala kichwani mlimani wanamtambua.
''
Salum Mwalimu anao watoto wawili, wa kwanza wa kike na wa pili ni wa kiume. Mazingira aliyonayo yanakuwa magumu kumpandisha jukwaani mzazi mwenzie pamoja na watoto kwa sababu mzazi mwenzie ni mke wa mtu. Hivyo inakuwa changamoto.
Naamini kuna siku atafanya hivyo , aliyezaa nae kaolewa na Mzee wa makamo hivyo ikamlazimu huyo dada ambaye ni mbunge (CHADEMA) wa jimbo kutoka mkoa wa Mara kutafuta kijana aweze kufurahia ujana wake maana damu bado inachemka, na mapenzi yao yalianzia walipokutana kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Tarime mwaka 2008 baada ya kifo cha Marehemu Chacha Wangwe ''
Soma >
Salum Mwalimu ana watoto, asidhalilishwe - JamiiForums