Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,402
- 5,500
Wengi tulitegemea hili ht Lissu mwenyewe maana hakuongea aloyaongea kwa bahati mbaya kuna image anataka ionekane ndan na nje ya nchi na wacvyojielewa wameingia king kichwa kichwa,wakumkamata wapo ila wa kumfunga hajazaliwa na sio j3 ht wamshikilie mda gan yy c papai tuseme litaoza!Aluta continua.