Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,930
- 20,292
.....Ni vizuri wanasiasa hasa wanaotarajia kuwa viongozi wa juu waelewe namna ya kuongea kwa weledi kwa kujenga na kutetea hoja zao badala ya kuongea kwa mihemko wakidhani wanawafurahisha watu fulani. Hivi unaweza kutuhumu kuwa mkuu wa majeshi kateuliwa kwa upendeleo wa kikabila? mtu ambaye alikuwa kwenye ngazi ya luteni jenerali!? Hii ni sawa na kumdhalilisha kwamba hakustahili kupanda hizo ranks kufikia ngazi ya jenerali, shutuma ambazo hazistahili kwa kiongozi wa taasisi nyeti kama JWTZ.
....umetumwa?