Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,842
- 4,777
Unafikiri yuko salama?? Kashaliona hilo ndio maana kaenda kutafuta uteteziRais aunde Tume ya Masuala ya Maliasili Kama alivyofanya kwny Madini ili kumtia Adabu huyu Mtu!
Unafikiri yuko salama?? Kashaliona hilo ndio maana kaenda kutafuta uteteziRais aunde Tume ya Masuala ya Maliasili Kama alivyofanya kwny Madini ili kumtia Adabu huyu Mtu!
Mkiambiwa ccm ni chama cha majambazi mnakataa lkn sasa naona umelithibitisha hilo.Umechelewa Jambazi wewe.rudisha vyote ulivyotuibia watanzania na Mali ulizojilimbikizia.
Ujumbe wako unaheshimika,lakini nikuombe utumie lugha au maneno malaini kufikisha ujumbe wako.Chama na nchi vimekabidhiwa kwa mwendawazimu ambaye ameleta hofu na taharuki nchi nzima ikiwemo ndani ya chama. Kama asipokabiliwa mapema huyu basi ataleta athari kubwa sana nchini kwa maamuzi yaliyojaa chuki kubwa, undumilakuwili, ukurupukaji, kudharau sheria za nchi, katiba na Bunge.
tunakukaribisha hapa Takukuru lete ushahidi wote ulionao kesho asubuhi tutaufanyia kaziAmenunuliwa. Ushahidi ninao kwenye flash. Ule wa Nassari ni cha mtoto. Kesho natinga Takukuru.
Tunasubiri kigwangwala afanye yake!biashara ya pembe na twiga inajulikana kinana ndio boss.
Nchi ilikofikia wanatakiwa kama Nyalandu wengi tu ili kupata mageuzi
Nchi ilikofikia wanatakiwa kama Nyalandu wengi tu ili kupata mageuzi
na mwigulu akiondoka siku hio usisahau kuja kuhorojoa..wanyaturu sio wajinga kama nyieNashangaa ooo nashangaa mimi nashangaa?hapana,hata yule wa maliasili na utalii anaelekea hukohuko jalalani.Kitu kikishaoza lazima kiende jalalani,sio kiwandani.Anasifa gani?Maliasili na utalii ilikuwaje alipokuwa yeye?kwa nini maunga alihama?aligundua mapungufu ya ccm?mbona wamechelewa kugundua?au mrija ukishakatwa unajitambua?Mbona wanapotoka kama huyu maunga hasemi siri za ndani za huku ccm?au anakuwa amekuja kuchafua huku kusiwe na msimamo?Sielewi na sema sielewi!kwa nn akitoka asiende ACT?au kwa vile mgombea uraisi wa kule ni mpenda dezo na dili wanakimbilia kule ili watuuze ikitokea miujiza wakishika Dola?
Vipi mkapa akihama?? Mtakumbushia Yale makoleo ya dhahabu ??? Ila sahivi fresh hana noma huko alipo kwenu???Chadema walivyo vilaza watampa nafasi yakugombea urais2020
Wale wazee wakujeruhi,au?hahahahNyalandu awe makini na Nissan nyeupe