mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Posho na vikao alishirikije bila Spika kumtambua?Mngempa barua asingejiuzulu. Kwanini hamkumpa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Posho na vikao alishirikije bila Spika kumtambua?Mngempa barua asingejiuzulu. Kwanini hamkumpa?
Bila barua maana yake haionekani kuwa yupo rasmi kwenye hiyo nafasi. Hii haiwezi kuingia kwenye CV yake.Kwani barua iliathiri utendaji kazi wake?Mbona amehudumu na kushirikiana na ofisi ya bunge miaka 2 mfululizo bila barua na hakuna aliyejua chochote.Leo mwaka wa mwisho wa ubunge wake ndo anastuka kuwa suala la barua?kama angataka barua mwezi 1 baada ya kupewa hicho kijiti ingekuwa sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekuja kugundua juzi kuwa hakupewa barua? Alikubalije miaka yote hiyo kukaa bila barua?Mngempa barua asingejiuzulu. Kwanini hamkumpa?
Bila barua maana yake haionekani kuwa yupo rasmi kwenye hiyo nafasi. Hii haiwezi kuingia kwenye CV yake.