johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,944
Mbunge wa Mtwara mjini amesema wamasai 110,000 wanaoishi Ngorongoro waondolewe na kulipwa fidia ili kulinda hifadhi kwa sababu Ngorongoro siyo mali ya Wamasai pekee bali ni ya taifa zima kama ilivyo gesi ya Mtwara.
Mbunge huyo amesema ng'ombe walioko Ngorongoro ni mali ya matajiri wanaoishi Arusha wala siyo wanavijiji wa Ngorongoro.
Kama gesi ilitoka ikapelekwa Kinyerezi Dar es salaam basi na Wamasai ni lazima waondoke Ngorongoro amesema mbunge huyo.
Source: TBC
Mbunge huyo amesema ng'ombe walioko Ngorongoro ni mali ya matajiri wanaoishi Arusha wala siyo wanavijiji wa Ngorongoro.
Kama gesi ilitoka ikapelekwa Kinyerezi Dar es salaam basi na Wamasai ni lazima waondoke Ngorongoro amesema mbunge huyo.
Source: TBC