Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Nakuona ktk ubora wako wa kuramba miguuHoja yako ni ipi katika hili? Mtu kala hela unataka achekewe?
Nakuona ktk ubora wako wa kuramba miguuHoja yako ni ipi katika hili? Mtu kala hela unataka achekewe?
Kwa taarifa yako CCM haijawahi hata kupata kura yangu. Tatizo lako unataka kuhusisha kila kitu na CCM. Hata uzembe wa mtu binafsiNakuona ktk ubora wako wa kuramba miguuView attachment 1666495
Acha izo MZEEccm wote ni madikteta wanajiona miungu watu,wajinga
Wazembe kama wewe lazima ni buku 7 wa lumumbaKwa taarifa yako CCM haijawahi hata kupata kura yangu. Tatizo lako unataka kuhusisha kila kitu na CCM. Hata uzembe wa mtu binafsi
Umenikimbusha ile timu ya kusini sasa hivi inang'aa kweli. Ngoja mtu akiachia upm na yenyewe itaenda na maji. Ni kama kama kale katimu ka Singida, Mwigulu alikua hakosi mechi zake, ulipotwaliwa uwaziri na timu ikafa kifo cha mendeMitano tena. Na kile kiwanja chake Cha mpira kipogo? Na timu yake ya mpira unaendeleaje. Huyu analindwa na mapema atapewa wizara
Ndicho anachofanya hicho. Kamfikisha polisi wao wataamua wamfikishe mahakamani au alipe. Tatizo mnaona Wabunge ni binadamu na nusu. Ni watu kama nyinyiNingekuwa mimi ndiyo Mbunge husika KWA kuzingatia heshima niliyopewa na jamii yangu na kwa kuzingatia miongozo ya kimaadili KWA kiongozi;ningemshitaki mahakamani!
Una swali jingine
Ningekuwa mimi ndiyo Mbunge husika KWA kuzingatia heshima niliyopewa na jamii yangu na kwa kuzingatia miongozo ya kimaadili KWA kiongozi;ningemshitaki mahakamani!
Una swali jingine?
Huna nyundo ya kuvunjia hilo kofuri?Naandika uzi huu kwa masikitiko sana. Mheshimiwa kabla ya kuwa mbunge alikuwa mkuu wa mkoa Manyara. Wakati huo alifanya ujenzi na akampa kazi ya nondo kijana mmoja pale Misungwi. Yuke kijana alipata loss akashindwa kumaliza ile kazi. Cha kusikitisha ni kuwa Mkuu wa mkoa wa Manyara kwa wakati huo aliagiza askari wa mkoa Mwanza kuweka kufuli katika ofisi za kijana yule....
Nachukia dhuluma/uonevu wa aina yoyote ile lkn ukweli usemwe vijana wamezidi kwa tamaa/utapeli ukimpa kazi.Kama kazi huiwezi unachukua ya nini? Vijana acheni tamaa. Alivyoona kazi ni ya mkuu wa mkoa akajua pesa itakua inatoka tu kila anapotaka. Kila mtu anatafuta hela kwa jasho na ana uchungu nazo. Badala ya kulia lia hapa ungesema sababu zilizomfanya ashindwe kumaliza kazi aliyopewa.
Nitake radhi khaa. Buk 7 kwani nanunua rambaramba😄😄Wazembe kama wewe lazima ni buku 7 wa lumumba
Cc MmawiaNachukia dhuluma/uonevu wa aina yoyote ile lkn ukweli usemwe vijana wamezidi kwa tamaa/utapeli ukimpa kazi.
Mafundi gari/ujenzi hua wanazingua kinyama yaani kishenzi acheni wakutane na wababe wawanyooshe mpk wapate akili.
Wewe unaipenda na kuitetea ccm kisa wewe ni msukhuuma
Wamezoea kutupiga wanyonge wenzao ambao huwa tunamuachia Mungu.Nachukia dhuluma/uonevu wa aina yoyote ile lkn ukweli usemwe vijana wamezidi kwa tamaa/utapeli ukimpa kazi.
Mafundi gari/ujenzi hua wanazingua kinyama yaani kishenzi acheni wakutane na wababe wawanyooshe mpk wapate akili.
Nakuongelea wewe wacha kutafuta kuchaka,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]makubwa haya so miaka nenda rudi wanaoipenda ccm ni wasukuma pekee!!??
Wewe ni buku 7Nitake radhi khaa. Buk 7 kwani nanunua rambaramba[emoji1][emoji1]
Nakuongelea wewe wacha kutafuta kuchaka,
Uzwazwa huo unao weweHakuna cha kuchaka. Badilisha msemo mkuu
Kuna tano tena
Mirere kabisaa
Five again
Nenda na wakati mkuu
Ningekuwa mimi ndiyo Mbunge husika KWA kuzingatia heshima niliyopewa na jamii yangu na kwa kuzingatia miongozo ya kimaadili KWA kiongozi;ningemshitaki mahakamani!
Una swali jingine?
Mkuu acha wakutane na wababe wawanyooshe vizuri,sinaga huruma kabisa na mafundi janjajanja.Wamezoea kutupiga wanyonge wenzao ambao huwa tunamuachia Mungu.