lugome jimlasko
New Member
- Apr 1, 2015
- 2
- 1
mm mwenyewe deo ni mbunge wangu tatzo moja nyie hamjajua misaada alikuwa anatuletea ming tuu kwa kupitia muwakilishi wake mkuu wa wilaya sema kwa sasa yeye yupo jimbon kwahyo yy mwenyewe anagawa ndo maana kuna utofaut hapo ila jamaa kwa maendeleo ya wilaya yetu ya ludewa amejitaid sana usiish kwa kusikia ishin kwa kuona ndugu zangu,utazungumziaje ludewa wakat jimbon kwako kuna matatizo makubwa anza kwako halafu njoo jimbon kwangu nhayo tuu