Mkuu wangu,
Kyela FM ni redio ya jamii na imelipa malipo yote TCRA. Kwahiyo maelezo yako hapa chini hayatuhusu.
Pitia sheria za TCRA ili kujiridhisha.
Kyela FM ni redio ya jamii na imelipa malipo yote TCRA. Kwahiyo maelezo yako hapa chini hayatuhusu.
Pitia sheria za TCRA ili kujiridhisha.
Mkuu unejitengenezea mwenyewe safari ya kwenda kushitakiwa mahakamani!
Nijuavyo mimi kila kituo chenye leseni na kinafanya biashara na matangazo hulipia $3,070 kila mwaka TCRA.
Sasa sijui huko Mbeya vipi, lakini kwa kiaka saba utadaiwa $21,490.
Uhuru FM nao wanadaiwa zaidi ya $50,000 kulingana na vyombo vya habari.
Ujinga si kinga.