Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mbunge wa Kishapu, Suleiman Masoud Nchambi ameshitakiwa kwa makosa 12 ya Uhujumu Uchumi katika Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga ambapo kesi hiyo imetaja kusikiliza tena siku ya Jumatatu Mei 11, 2020 na mtuhumiwa amerudishwa rumande.
Nchambi alikutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyama za Wanyamapori mnamo Mei 6.
Soma: Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536 - JamiiForums
In God we Trust
Nchambi alikutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyama za Wanyamapori mnamo Mei 6.
Soma: Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536 - JamiiForums
In God we Trust