Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

Mbunge wa jimbo la kinondoni maulid mtulia wa CUF ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia CCM,hivi nini kipo nyuma ya haya yanayojiri sasa ktk siasa hapa tz?
 
Mbunge wa kinondoni(CUF)bw SAID a amua kuachana na Chama hicho na kuacha nyadhifa zake zote ikiwemo ubunge na kujiunga na CCM huku akidai kufurahishwa na utendaji wa raisi .chanzo TBC HABARI
 
Awamu hii wanaomuunga Mkono rais ni viongozi tu....siwaoni wananchi wakifanya ivo
Kaka inawezekana sio kweli, wananchi wapo watakaokua wanamuunga mkono Rais. Shida ni kwamba media zinawapa viongozi publicity na kiongozi siku hizi anaonekana ndio muhimu kuliko mwananchi ambae ndie mlipa kodi wakati viongozi hawalipi! MWANANCHI="mwenye nchi", hao ndio wamewapa dhamana viongozi ili wawatumikie, lakini inakua kinyume chake! Ukiwa na akili zako zimekaa vizuri sana ni vigumu kukubali uongozi!
 
Mbunge wa jimbo la kinondoni maulid mtulia wa CUF ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia CCM,hivi nini kipo nyuma ya haya yanayojiri sasa ktk siasa hapa tz?
akyanani sisiemu inamatawi mengi
ngoja nipite maana naona wanataka kunisababishia ban
 
Kwa Mujibu wa Taarifa ya Habari ya Azam 2 ya leo saa mbili usiku huu, Mbunge wa Kinondoni kupitia Chama Cha Wananchi (CUF)Maulid Mtolea amejivua uanachama wa CUF na kujinga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ubalozi unamsubiri
 
Binafsi namkubali JPM he is doing very well.

Lakini, hii hamahama ya hawa watu nachelea kusema itakuwa haina afya kwa ccm within a short period of time from 5- 10 years to come.

Japo, kisiasa inaonekana ni advantage kwa CCM.
 
Back
Top Bottom