Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Unamiliki mali nyingi sana, unamiliki mashamba pori mengi sana lakini bado una tamaa ya kuendelea kuchochea migogoro ya mashamba na maeneo waliko wananchi kisa hayo maeneo yawe yako kwa nguvu.
Unatumia pesa na nguvu nyingi huku ukijificha nyuma ya watu fulani fulani na madalali ili usijulikane lakini tambua duniani hakuna siri.
Karibu 60% ya migogoro ya ardhi na mashamba makubwa makubwa wilaya ya kibaha wewe ndiye mhusika na hauachi kutajwa, kwanini? Kwanini wewe hutosheki bwashekeh? Hizi Mali zote unataka kuzifanyia nini Mangi?
Ni vizuri ifahamike kwamba, kwa Kibaha ili hii migogoro iishe wanatakiwa wakufate wewe kwani wewe ndiye king na kabaila uliye nyuma ya kila mgogoro Wilaya hiyo. Bado una mahekali ya mashamba yaliyoachwa kufuga nyoka na na fisi, hayaendelezwi miaka nenda rudi na yanachafua mji lakini bado huachi.
Mh. jitafakari sana, wananchi wako wanateseka sana kwa tamaa zako zilizovuka mipaka na kutokuwa na huruma na wananchi wenzio.
Nimeongelea ya Kibaha tu, Bwagamoyo na Chalinze nako wanakujua vizuri sana
Jumapili njema!✋✋
Unatumia pesa na nguvu nyingi huku ukijificha nyuma ya watu fulani fulani na madalali ili usijulikane lakini tambua duniani hakuna siri.
Karibu 60% ya migogoro ya ardhi na mashamba makubwa makubwa wilaya ya kibaha wewe ndiye mhusika na hauachi kutajwa, kwanini? Kwanini wewe hutosheki bwashekeh? Hizi Mali zote unataka kuzifanyia nini Mangi?
Ni vizuri ifahamike kwamba, kwa Kibaha ili hii migogoro iishe wanatakiwa wakufate wewe kwani wewe ndiye king na kabaila uliye nyuma ya kila mgogoro Wilaya hiyo. Bado una mahekali ya mashamba yaliyoachwa kufuga nyoka na na fisi, hayaendelezwi miaka nenda rudi na yanachafua mji lakini bado huachi.
Mh. jitafakari sana, wananchi wako wanateseka sana kwa tamaa zako zilizovuka mipaka na kutokuwa na huruma na wananchi wenzio.
Nimeongelea ya Kibaha tu, Bwagamoyo na Chalinze nako wanakujua vizuri sana
Jumapili njema!✋✋