Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
- Thread starter
- #21
Anaweza akawa mzuri kwa kikundi ama mtu binafsi ila usiombe akatamani jambo kutoka kwako na analihitaji hutakaa umdhbnie ndiye. Anafanya kibaha iendelee kuwa na mapori wakati kibaha ishakuwa mji na watu wanahangaika kutafuta maeneo ya kujenga