Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

CCM bhana wameshiba wanabakia kujamba tu
Mh.Kishimba anatakiwa kufahamu kuwa hapa Tanzania chuo kuna Chuo hicho,huko wanatoa taaluma ya wizi kwa ngazi ya cheti,stahahada,astashahada ,digrii za kawaida,masters, uzamili,uzamivu hadi maprofesa wanahitimu.Chuo hicho hats yeye ni mwanafunzi/mhitimu ila hajajitambua kuwa anasoma.
Fumbo hili akilifumbua atajitambua na tunatarajia atabadilika na kutafuta elimu bora.Ameingia cha...
 
Ndiyo wabunge wanao hitajika kwa sasa maana hawana hoja za kujenga
Wanapita bila kupingwa na kushinda kwa kishindo kwenda kuongea...wao Bungeni.Hii ndiyo Tanzania tuanayoitaka na tumepewa na CCM kwa gharama ya kodi zetu.
 
Kama kweli adhabu ya Mungu ipo sina shaka ccm watapata sana mateso mbele ya Mungu
Wanapita bila kupingwa na kushinda kwa kishindo kwenda kuongea...wao Bungeni.Hii ndiyo Tanzania tuanayoitaka na tumepewa na CCM kwa gharama ya kodi zetu.
 
Bhayolanga bhosambo gete bhabehi??eyo kishimba angalelagaee dogopola mishishi gete lekaga enyatumbaf yako wipange!!!#AMAENDELEO GADE NA CHAMA
 
Huyu mbunge toka nimeanza kumjua hajawahi ongea point kamwe. Anyway ni haki yake kutoa maoni wako wabunge wako bungeni wanakula posho na kodi zetu bure tu
Mtoa mada amepotosha umma. Mbunge alikuwa anataka kianzishe chuo cha watumishi wa umma kupambana na wezi wa mali ya umma.
Chadedema imejaa mijitu ambayo haina akili. Mabichwa maji.
 


Mbunge wa Kahama Mjini kupitia CCM Jumanne Kishimba, ameiomba Serikali ifungue chuo cha wizi kwa kuwa matukio ya wizi katika sekta za umma na Halmashauri nyingi umeshamiri kwa kiasi kikubwa na kwamba chuo hicho kitasaidia wale watu wanaoenda kuchunguza wezi, kuzijua mbinu zao na kuwabaini.

Hayo ameyabainisha leo Mei 28, 2020, Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa 19, kikao cha 39, wakati wa uchangiaji wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Huduma za Serikali za Mitaa, na kueleza kuwa ni vyema chuo hicho kikawekwa japo kwa kutumia jina lingine ili kukomesha suala hilo.

"CAG na Waziri wa Fedha yuko hapa hawa vijana wanaoajiriwa lazima wanatoka shule inayofundisha maadili mema na uaminifu, sasa wanaenda kupambana na wizi wengine wamesoma Seminari, kwanini serikali haifikirii sasa kuanzisha chuo cha wizi, kwa maana mtu anapochaguliwa kwa sifa ya uaminifu kwenda kupambana na wezi anaenda kupambana nao namna gani? afadhali apite kwenye chuo hicho kwa miezi mitatu ili ajue akili ya wizi, hawa vijana wetu tutawamalizia magerezani na hali ya wizi ni mbaya sana" amesema Mbunge Kishimba.

Credit: EATV

Mwaka jana, Kishimba alitaka kilimo cha bangi kihalalishwe nchini Tanzania Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania

Maoni Yangu
Kumbukeni huyo mbunge alishawahi kuomba Serikali iruhusu bangi itumike kihalali.

Daaaa hao ndiyo wabunge wetu ambao ni watunga sheria na wapitisha miswaada na mikataba mbali mbali.

Kama taifa bado tuna safari ndefu.

Duh..........
 
Bhayolanga bhosambo gete bhabehi??eyo kishimba angalelagaee dogopola mishishi gete lekaga enyatumbaf yako wipange!!!#AMAENDELEO GADE NA CHAMA
Chuo cha uwizi utafundishwa mpk jinsi ya kujilinda usipigwe

Ova


Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli Kishimba ana point katika mchango wake ila hajaiwasilisha kitaalam!! Ili kuwa kamata wezi ni lazima kujua mbinu wanazozitumia kuiba ndio maana nchi zilizoendea wakiwakamata kwa mfano wezi wa mitandaoni huwa hawafungi kwa muda Mrefu kwa makubaliano kuwa wataeleza mbinu zao wanazotumia ili zitumike kuwanasa wezi wengine. Sasa kwa Kishimba hiyo ndio shule ya wezi!!
 


Mbunge wa Kahama Mjini kupitia CCM Jumanne Kishimba, ameiomba Serikali ifungue chuo cha wizi kwa kuwa matukio ya wizi katika sekta za umma na Halmashauri nyingi umeshamiri kwa kiasi kikubwa na kwamba chuo hicho kitasaidia wale watu wanaoenda kuchunguza wezi, kuzijua mbinu zao na kuwabaini.

Hayo ameyabainisha leo Mei 28, 2020, Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa 19, kikao cha 39, wakati wa uchangiaji wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Huduma za Serikali za Mitaa, na kueleza kuwa ni vyema chuo hicho kikawekwa japo kwa kutumia jina lingine ili kukomesha suala hilo.

"CAG na Waziri wa Fedha yuko hapa hawa vijana wanaoajiriwa lazima wanatoka shule inayofundisha maadili mema na uaminifu, sasa wanaenda kupambana na wizi wengine wamesoma Seminari, kwanini serikali haifikirii sasa kuanzisha chuo cha wizi, kwa maana mtu anapochaguliwa kwa sifa ya uaminifu kwenda kupambana na wezi anaenda kupambana nao namna gani? afadhali apite kwenye chuo hicho kwa miezi mitatu ili ajue akili ya wizi, hawa vijana wetu tutawamalizia magerezani na hali ya wizi ni mbaya sana" amesema Mbunge Kishimba.

Credit: EATV

Mwaka jana, Kishimba alitaka kilimo cha bangi kihalalishwe nchini Tanzania Mbunge Jumanne Kishimba (CCM) ataka kilimo cha bangi kuhalalishwa nchini Tanzania

Maoni Yangu
Kumbukeni huyo mbunge alishawahi kuomba Serikali iruhusu bangi itumike kihalali.

Daaaa hao ndiyo wabunge wetu ambao ni watunga sheria na wapitisha miswaada na mikataba mbali mbali.

Kama taifa bado tuna safari ndefu.

Nahisi umeshindwa kuelewa logic ya Mh. Mbunge.
 
Wabunge wa ccm ninyumbu
Umeshindwa kuelewa alimaanisha nini. Kabla ya kulaumu ungeelewa kwanza. CIA na FBI inapowakamata wahalifu waliowasumbua sana kwenye uchunguzi wao huishia kuwaajiri ili wawafundishe mbinu zao za uhalifu waweze kuthibiti wengine. Au kwakuwa wao ni wazungu ni sawa ila kwa Watanzania ni nongwa?
 
Back
Top Bottom