Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,339
- 17,865
Wote wanao muunga mkono huyu Kishimba ukiwachunguza utakuta ni wale waliofeli au waliosoma kwa kuunga unga.Huyu mzee anapoint nzuri sana. Jambo lingine ambalo lilipata kunisikitisha na ambalo linapoteza tena muda zaidi ni kwa yule mtu mwenye diploma anataka aongeze elimu awe na degree. Sasa jiulize mtu kasoma mpaka kafika form six bahati mbaya akapata division 2 or 3 ikambidi asomee diploma kwa miaka mitatu then akaamua asomee degree yaan anaanza tena moja na mtu ambaye ndio katoka form six fresh na anasoma naye tena miaka sawa ya degree as if hana utofauti naye kabisa. Kwanza lazma serekali na wataalamu walio vyuoni wajue masomo ya diploma kwenye coz fulani yanaendana kwa kiasi kikubwa na masomo ya degree kwa kwenye coz hiyohiyo why Sasa mtu aliyekwisha kusoma diploma asipunguziwe muda wa kusoma degree badala ya miaka minne iwe hata miaka miwili au miwili na nusu kiliko kusoma minne full sawa na form six fresh?