Innaa lillah wainnaa ilayh Raj uun.Alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani.
Muumba mpokee mja wako, na umsitiri kwenye anayostahili
Innaa lillah wainnaa ilayh Raj uun.Alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani.
Muumba mpokee mja wako, na umsitiri kwenye anayostahili
Inawezekana pia likawa la IndiaHili ni wimbi la 4.
Kwani jimbo alilotoka lilifanya by -election
Inawezekana pia likawa la India
SureKuna dalili zote Second Wave imeshaanza, uzuri Rais Samia kasema tupambane na huu Ugonjwa Kitaalamu na sio Kisiasa.
Mwanzo jumbo hilo alishinda nan 2020Nadhani hivyo unless kama nimechanganya madawa.
Ngoja waanze tena kututangazia takwimu lakini kwa sasa tuko gizaniKama cha India kinachagua
Basi akina madhara.
Si unaona wenyewe wanavyodondoka.
Yaani hakisubiri upimwe.
Ndo watu wajue unacho.
Mwanzo jumbo hilo alishinda nan 2020
mawazo ya kipumbavu sana haya utangaziwe itasaidia nn kwa mfanoNgoja waanze tena kututangazia takwimu lakini kwa sasa tuko gizani
NotedNot at all don’t read between the lines please!
Takwimu ni muhimu katika kupambana na hii Pandemic hata kujua Ugonjwa uko mwingi Mikoa ipimawazo ya kipumbavu sana haya utangaziwe itasaidia nn kwa mfano
Isiwe tu wave 3, mbona itakuwa balaa!!Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia. Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
Khatibu aliwahi kuwa Mbunge wa Konde kupitia Chama cha Wananchi CUF mwaka 2010 hadi 2020. Alishawahi kushika nafasi ya Waziri wa Kilimo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mwaka 1984 hadi 1987
Katika Bunge hili la 12, Khatib amekuwa Mbunge wa tatu kufariki tangu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. January 21 2021 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla alifariki dunia na Feb 12, 2021 Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Atashasta Nditiye alifariki Dunia baada ya kupata ajali ya gari
View attachment 1791420
Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji
RIPMbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia. Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
Khatibu aliwahi kuwa Mbunge wa Konde kupitia Chama cha Wananchi CUF mwaka 2010 hadi 2020. Alishawahi kushika nafasi ya Waziri wa Kilimo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mwaka 1984 hadi 1987
Katika Bunge hili la 12, Khatib amekuwa Mbunge wa tatu kufariki tangu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. January 21 2021 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla alifariki dunia na Feb 12, 2021 Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Atashasta Nditiye alifariki Dunia baada ya kupata ajali ya gari
View attachment 1791420
Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji
Sawa mkuuTakwimu ni muhimu katika kupambana na hii Pandemic hata kujua Ugonjwa uko mwingi Mikoa ipi
Season 3 imeshaingia ndugu zangu tukae mkao wa kula sasa