Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,452
Zitto kachangiaje kujifia kwa chadema?Pole kwa familia yake na wa-Zanzibar kwa ujumla.
Zitto amekuwa mnafki na amekuwa kama tissue ya CCM, ni ngumu kumpa pole zitto, labda watu wengine. Ndiye anachangia kuua upinzani Tanzania na kuendelea kuongozwa kimabavu.