Mtanganyika mweusi
Member
- Apr 26, 2012
- 34
- 3
Au alikuwa anamsifia jk mkutanoni akawa anadhani yuko CC ya CCM
Mbunge wa Geita kwa ticket ya CCM amenusurika kupigwa na wananchi wenye hasira kali kwa kile kilichodaiwa kumkumbatia diwani na mtendaji wa kata wanaotuhumiwa kwa ufisadi na kumfukuza mwenyekiti wa kijiji aliyekuwa akiwatetea wananchi (kupambana na ufisadi). Source ITV taarifa ya habari
pia wananchi wanadai juzi alienda na majambazi wakawapiga mabomu wanachi na yeye badala ya kuwapa pole akaenda zake kutembelea kijiji kingine na wamesema kijiji chao akione kama kituo cha polisi
alafu alipo ulizwa akajibu eti hajazomewa wakati hata mwenyekiti wa kijiji kathibitisha kuwa amezomewa
Gamba ni Gamba tu ndugu, huyu Mbunge alidhani watu wa Mikoani ni mzezeta ambao hawajui kuhoji kumbe alikuwa anajidanganya.Hivi Geita Mbunge wao anatoka Chama Cha Malooters?