sounds goodMbunge wa CCM Jimbo la Geita amenusurika kichapo leo hii baada ya kutuhumiwa kulinda ubadhirifu katika baadhi ya kata Jimboni humo.
Amezomewa na wananchi na mkutano umevunjika na wananchi wanasema hawamtaki Mbunge huyo wala diwani.
Source: ITV News.
Wangemkamata afu wangekula 0713.
Huko Geita kulikuwa na Diwani mmoja anaitwa Msukuma. Akawa MWenyekiti wa Halmashauri ya Geita akawa anapambana na kampuni ya madini akitaka haki lakini mwishowe wakala njama mkuu wa mkoa akasimamia kura za kumfuta Uenyekiti wa halmashauri. Nasikia aliacha na huo udiwani lakini akabaki chamani (CCM). Kuna mkubwa mmoja anamzuia asihame chama. Huyu Msukuma ni kipenzi cha wazinza. Huenda ni mzimu wake ndio unamsumbua Mbunge.
Anaitwa mh nani?
umesomeka kiongozi kimbunga