Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,580
- 780
fact, aweke na za matokeo mkuuWeka picha zikionyesha mtu aliefungwa kamba shingoni acha unafiki na uzandiki
fact, aweke na za matokeo mkuuWeka picha zikionyesha mtu aliefungwa kamba shingoni acha unafiki na uzandiki
Huku Rungwe walikuja na vikosi kadhaa kuhakikisha ushindi. Walitenda vya kutenda lakini wananchi wakasimama na kumpa diwani wa upinzani kura nyingi kuliko za mwanzo.Tafadhali nahitaji msaada hapa. Kwa taarifa zilizopo CHADEMA ameshinda Diwani moja tu huko Rungwe. Naomba mnijuze kama yupo mwingine aliyeshinda Morogoro
Kujitambulisha jina ndio kutokuwa muoga?
I.D unayoiona ndio jina langu, au kama unataka majina kamili ni kwamba naitwa Freyzem Ngwaira Shemaro..
Nipo Mavumpa hapa, njoo wee zwazwa!.
Na wee taja yako!
Ndiyo maana naanza kuamini hata Lissu walimfanyizia wenyewe. Hawa jamaa ni wapumbavu sijui ni kukosa kazi. Unayo video mkuu turushieHili tukio nimelifuatilia kwa karibu sana naona unadhani peke yako ndio mwenye kujua undani wake, advocating upendo wakati mlikua mmeshamwaga petrol Hospital tayari kwa kuwachoma wagonjwa huo ndio upendo?
Mpaka mleta mada kaanza kunyofoa pictures baada ya kumuumbua na hii
Eti polisi kajiiba wakati picture inaonesha video camera ya muandishi wa Habari, hakuna police Tanzania anaweza kuvumilia huu uendawazimu wa chadema lijua likali lazima arudi ndani tena sababu amepamiss
....Huu Ni unyama wasHali ya juu
kaul za kitotoNashangaa watu wanavyo sema Tanzania imepata uhuru. na wakati huo bado serikali inatumia system ile ile ya mkoloni.
.....Huku Rungwe walikuja na vikosi kadhaa kuhakikisha ushindi. Walitenda vya kutenda lakini wananchi wakasimama na kumpa diwani wa upinzani kura nyingi kuliko za mwanzo.
komaa pekeyako, c hayatuhusu mkuuHii kitu watanzania kwa umoja wetu tusi ichukulie kiraisi iko siku itatugharimu kama taifa
Wamesafiri usafiri wa luxury serikali sasa hivi inabana matumizi defender moja ilikuwa inawatosha ukiwalaza wakiwa na pingu kumi chini halafu kumi wengine wakalalia wale kumi juu yao na pingu ngazi ya pili halafu ngazi ya tatu ukalaza wengine kumi juu yao na pingu halafu ngazi ya NNE ukamalizia wale nane kuna shida gani juu yao askari wanaowasindkiza si wanawakanyagia juu wakiwa wima hata wawe kumi.Polisi wawe wabunifu Nina uhakika kwa kubebwa hivyo utii wa sheria bila shuruti Tanzania lazima uvunje rekodi za duniaKwanini mkuu?
Amina. Aluta continua......
.....Mungu awabariki
Kujitambulisha jina ndio kutokuwa muoga?
I.D unayoiona ndio jina langu, au kama unataka majina kamili ni kwamba naitwa Freyzem Ngwaira Shemaro..
Nipo Mavumpa hapa, njoo wee zwazwa!.
Na wee taja yako!
Uhujum uchumi ina dhamana kama inayo wawabambike na kesi ya kutakatisha pesaPolice officers wanatakiwa wawangulie hawa wahuni kesi ya uhujumu uchumi kuchoma shule na Ofisi za serikali na kutaka kuchoma Hospital ya serikali ni kuhujumu uchumi. Wakatafute nchi ya kufanyia huu uhuni sio Tanzania
Hili tukio nimelifuatilia kwa karibu sana naona unadhani peke yako ndio mwenye kujua undani wake, advocating upendo wakati mlikua mmeshamwaga petrol Hospital tayari kwa kuwachoma wagonjwa huo ndio upendo?
Mpaka mleta mada kaanza kunyofoa pictures baada ya kumuumbua na hii
Eti polisi kajiiba wakati picture inaonesha video camera ya muandishi wa Habari, hakuna police Tanzania anaweza kuvumilia huu uendawazimu wa chadema lijua likali lazima arudi ndani tena sababu amepamiss
Uhujum uchumi ina dhamana kama inayo wawabambike na kesi ya kutakatisha pesa
Unawaonea bwana makamanda walikwenda kulinda kuraWamesafiri usafiri wa luxury serikali sasa hivi inabana matumizi defender moja ilikuwa inawatosha ukiwalaza wakiwa na pingu kumi chini halafu kumi wengine wakalalia wale kumi juu yao na pingu ngazi ya pili halafu ngazi ya tatu ukalaza wengine kumi juu yao na pingu halafu ngazi ya NNE ukamalizia wale nane kuna shida gani juu yao askari wanaowasindkiza si wanawakanyagia juu wakiwa wima hata wawe kumi.Polisi wawe wabunifu Nina uhakika kwa kubebwa hivyo utii bila shuruti Tanzania lazima uvunje rekodi za dunia
Kura zinalindwa kwa kuchoma majengo?Unawaonea bwana makamanda walikwenda kulinda kura