Kiukweli Dompo ndio zangu na Altar as well!. Mimi Mkatoliki hivyo baada ya kile kibali cha harusi ya Cana, tunazipiga mpaka Church ndio itakuwa Dodoma?'. Ni Dompo kwa sana na kwa kwenda mbele!.Mvinyo wa Dompo huo !!!
Kama kila member angekuwa anarusha thread kwa mtindo wako JF ingekufa ingejaa *****. Shiriki kutunza heshima ya JF
Ndio maana yake impliedly japo not expresilly kama Shibuda alivyo CDM!.Aksante mkuu. Hata hivyo usiwe unawarusha roho watu namna hii, wengine tulishaanza kufikiri labda ka-cross!
Pasco = zero!
Shujaa aache kuwa Zitto awe huyo Ester wako?? Acha hizo bana, hata kama ndo unamtafutia jina na sifa sio kupitia kwenye agenda za wengine.
Be a Great Thinker!
Pasco = zero!
Shujaa aache kuwa Zitto awe huyo Ester wako?? Acha hizo bana, hata kama ndo unamtafutia jina na sifa sio kupitia kwenye agenda za wengine.
Be a Great Thinker!