Acha kuwaza na kupiga kelele
juu ya uzinzi wa watu. Kila mtu ni mzinzi tu. Viongozi wa serikali wote
ni wazinzi na wengi wao mabasha, hizo kelele na mbwembwe kampigie
Mwigulu. Hata watoto wa mitaani ni zao la uzinzi wa ccm, Nape anajua
hilo, pengine na wewe ni zao hilo. Wananchi wote ni wazinzi na hatutaki
kujadili hilo. Povu lako ni bure tu, kwa hiyo tafuta kuboresha maisha
yako. Kwa nini maisha bora kwa kila Mtanzania hayakupatikana? Sababu ni
uzinzi tu!!!!
halafu tunajiuliza kwa nini ni maskini! tunaanza kuwasingizia wazungu! kumbe tunafanya maovu kuanzia wananchi mpk viongozi acha tulaaniwe!