Mbunge wa CCM Cyril Chami aichana CCM

Mbunge wa CCM Cyril Chami aichana CCM

mkuu huyu mbona alishatemwa muda mrefu kabakia na ubunge ambao hata hivyo hatapata tena nafas ya kurud bungeni

Mkuu kweli mie siwajui hawa mawaziri wetu lol.. Nilidhani bado alikuwapo hapo.. Nashukuru kwa kunisahihisha.. Kwa hiyo inawezekana anakumbuka alivyopigwa jungu wakati huo..
 
Aache unafiki, kwani yeye kajadili nini? Mbona hatumsikii? Mi nilidhani alishaachia ubunge!!!
Cyril Chami

"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?

Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."

#Ni ushauri tu



source Facebook page yake
 
halafu tunajiuliza kwa nini ni maskini! tunaanza kuwasingizia wazungu! kumbe tunafanya maovu kuanzia wananchi mpk viongozi acha tulaaniwe!

Usimsingizie MUNGU aliyetupatia rasilimali kibao,tatizo la nchi yetu na hiki chama cha mizigo na nyie mamluki wake.taifa linaibiwa,raslimali zinatoroshwa nyie mumekalia uzushi na udaku! wananchi wanaporwa ardhi yao hadi wanajihami kwa mawe mpo mnaendekesha makombo ya mafisadi! wapumbafu kabisa nyinyi na laana ya vizazi vijavyo itawafata makaburini!
 
kulipuana lazima, huwezi kujiita mkristo wa kkkt then ukaanza kutembea na kisha kuzaa na mke asiye mke wako, pili huwezi kuwa kub then ukatumia madaraka yako kufanya uzinzi dubai tena kwa fedha za umma.
sijui jk akianikwa uzinzi wake itakuwaje?
Mi naogopa.
 
halafu tunajiuliza kwa nini ni maskini! Tunaanza kuwasingizia wazungu! Kumbe tunafanya maovu kuanzia wananchi mpk viongozi acha tulaaniwe!

hv kunawazinzi nawabakaji duniani kama wafaransa mkuu? Na bado wapo juu sana kwetu.
 
Huyu sio yule aliewajibishwa kwa kushindwa kutekeleza kazi alizokabidhiwa?

KWA IYO? kama kushindwa ndo asiongee chochote na asiwe na maoni??mbona wewe ulishindwa kuendelea kuwa mwanachama wa chadema ila mpaka sasa huwezi kupitisha milo miwili bila ya kuitaja chadema??
 
Sawa kafanya hayo ni makosa. Watu wanachojuuliza kuna matatizo ya msingi yapo kwenye watu waliowachagua. Yapo mambo yapo kwenye ilani ya chama yanatakiwa kutekelezwa. Je? hayo yatatatuliwa na ulichoandika?
Watu wanataka kusikia maji yanatoka, reli, barabara, shule na siyo issues binafsi.

Ndugu yangu unapokuwa level fulani lazima ufanye mambo amabayo ya BIG IMPACT to society. Hatutegemei kwenye level ya bungeni kuongea hayo. Swala la mbunge katumia hela sijui ni haja-retire hizo hela kuna chombo au idara inashughulikia.


Nashauri sana sana haya mambo ambayo hayana impact kwenye kubadili hali ya watu siyo hoja.

Tusidhani kuchanana ndiyo utaonekana kwenye chama unafanya vizuri hata kidogo. Chama kina ilani yake kinachotakiwa ni kutumia mikakati iliyowekwa kutekeleza ilani. Hapo nyuma nimechangia wanaojua sayansi ya siasa huwezi kukuta wanajadili ili swala. mfano Kinana au Msekwa

Kulipuana lazima, huwezi kujiita mkristo wa KKKT then ukaanza kutembea na kisha kuzaa na mke asiye mke wako, pili huwezi kuwa KUB then ukatumia madaraka yako kufanya UZINZI dubai tena kwa fedha za UMMA.
 
Kaichania CCM mjengoni au facebook ? Kama ni facebook wananchi na wapiga kura wake wamepata ujumbe huo ? Mnafiki na muoga mchumia tumbo wa kufa mtu huyo .

Nasubiri useme anatokea kanda ya kaskazini alafu ni mchaga bwahahahaha
 
Huyu sio yule aliewajibishwa kwa kushindwa kutekeleza kazi alizokabidhiwa?

Yeah ni wa kutoka kanda ya kaskazini wale ambao hatiwapendi ambao utanzania wao ni nusu tu sio kama sisi wengine watanzania kamili. Bwahahahahhahah
 
Kaskazini FOR Kaskazini, kuweni makini sana na hawa watu wa kaskazini, naona anamtetea shemeji yake

Nlijua tu mtaleta ukabils ns ukanda ccm bana. Raha yenu ni kujua tu nani alilala na nani ndo uwezo wenu ulipoishia
 
Vipi Sista Magdalena Bikra yako imepunyuliwa nini,mbona unaweweseka namna hii kama unataka taga?au ile dhambi ya ubaguzi imeanza kuwarudi?sikuwa najua huko Magambani pia kuna Wachagga/watu wa Kaskazini.

Naona wanaanza kuwatenga wachaga kuyokea ndani ya ccm. Wachaga hatari sana hawa watu wanaogopwa kupita maelezo.
 
Back
Top Bottom