nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Ni mawazo mazuri, lakini badala ya kuyasema mjengoni anayaandika kwenye face book, kweli mibunge mingi ya ccm ni majanga matupu!
amesoma alama za nyakati
Acha kuwaza na kupiga kelele juu ya uzinzi wa watu. Kila mtu ni mzinzi tu. Viongozi wa serikali wote ni wazinzi na wengi wao mabasha, hizo kelele na mbwembwe kampigie Mwigulu. Hata watoto wa mitaani ni zao la uzinzi wa ccm, Nape anajua hilo, pengine na wewe ni zao hilo. Wananchi wote ni wazinzi na hatutaki kujadili hilo. Povu lako ni bure tu, kwa hiyo tafuta kuboresha maisha yako. Kwa nini maisha bora kwa kila Mtanzania hayakupatikana? Sababu ni uzinzi tu!!!!
Cyril Chami
"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?
Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."
#Ni ushauri tu
source Facebook page yake
Kulipuana lazima, huwezi kujiita mkristo wa KKKT then ukaanza kutembea na kisha kuzaa na mke asiye mke wako, pili huwezi kuwa KUB then ukatumia madaraka yako kufanya UZINZI dubai tena kwa fedha za UMMA.
At least amethubutu japo kaongea Huku kajifungia chooni (Facebook)
Cyril Chami
"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?
Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."
#Ni ushauri tu
source Facebook page yake
teh teh, mbavu zangu mie! Kwa hiyo wa kusini watafanyaje?Kaskazini FOR Kaskazini, kuweni makini sana na hawa watu wa kaskazini, naona anamtetea shemeji yake
Kaskazini FOR Kaskazini, kuweni makini sana na hawa watu wa kaskazini, naona anamtetea shemeji yake
Hee...kumbe kuna watu bado wanaona....nilifikiri wabunge wote mmepofuka. Yaani hamuoni hata kama maji hayapatikani kwenye viunga tushivyo...mmebaki 'kulipua' na 'kuvaa'.....aunguruma...halafu ona hicho anachoungurumia...ovyooo....