Mbunge wa CCM Cyril Chami aichana CCM

Mbunge wa CCM Cyril Chami aichana CCM

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,269
Reaction score
473
Cyril Chami

"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?

Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."

#Ni ushauri tu



source Facebook page yake
 
Ha ha ha ha.. Huyu c ndo katika mawaziri mzigo nae yumo..? Kapigwa jungu sasa ndo anagundua kwamba ccm ni majungu kwenda mbele..
 
Hee...kumbe kuna watu bado wanaona....nilifikiri wabunge wote mmepofuka. Yaani hamuoni hata kama maji hayapatikani kwenye viunga tushivyo...mmebaki 'kulipua' na 'kuvaa'.....aunguruma...halafu ona hicho anachoungurumia...ovyooo....
 
Kaichania CCM mjengoni au facebook ? Kama ni facebook wananchi na wapiga kura wake wamepata ujumbe huo ? Mnafiki na muoga mchumia tumbo wa kufa mtu huyo .
 
Huyu sio yule aliewajibishwa kwa kushindwa kutekeleza kazi alizokabidhiwa?
 
Cyril Chami

"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?

Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."

#Ni ushauri tu



source Facebook page yake
Mungu ameikataa Ccm ndio maana wanalipuana na badosubiria 2014/2015 ndio utauona mziki wa ukweli,kuwa Ccm ni laana
 
Cyril Chami

"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?

Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."

#Ni ushauri tu



source Facebook page yake

Kulipuana lazima, huwezi kujiita mkristo wa KKKT then ukaanza kutembea na kisha kuzaa na mke asiye mke wako, pili huwezi kuwa KUB then ukatumia madaraka yako kufanya UZINZI dubai tena kwa fedha za UMMA.
 
Huyu sio yule aliewajibishwa kwa kushindwa kutekeleza kazi alizokabidhiwa?

ataweza vp kutekeleza kazi alizokabidhiwa? ikiwa wale wanao takiwa kumsimamia kwa maana ya wabunge wanaleta umbea wa vibalazani
 
Kulipuana lazima, huwezi kujiita mkristo wa KKKT then ukaanza kutembea na kisha kuzaa na mke asiye mke wako, pili huwezi kuwa KUB then ukatumia madaraka yako kufanya UZINZI dubai tena kwa fedha za UMMA.

Acha kuwaza na kupiga kelele juu ya uzinzi wa watu. Kila mtu ni mzinzi tu. Viongozi wa serikali wote ni wazinzi na wengi wao mabasha, hizo kelele na mbwembwe kampigie Mwigulu. Hata watoto wa mitaani ni zao la uzinzi wa ccm, Nape anajua hilo, pengine na wewe ni zao hilo. Wananchi wote ni wazinzi na hatutaki kujadili hilo. Povu lako ni bure tu, kwa hiyo tafuta kuboresha maisha yako. Kwa nini maisha bora kwa kila Mtanzania hayakupatikana? Sababu ni uzinzi tu!!!!
 
Back
Top Bottom