DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Cyril Chami
"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?
Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."
#Ni ushauri tu
source Facebook page yake
"Wabunge wengi wa chama changu -Chama cha Mapinduzi wanashindwa kujadili mambo ya msingi yenye msaada kwa Watanzania waliowachagua na badala yake imekuwa 'Kulipuana' 'Kuvaana' na 'Kupigana vijembe'. Haya hayana maana sana kwa sasa.. Lenye maana ni TUNATEKELEZAJE ILANI YA CCM YA 2010-2015?
Kama huna la kusema i think it's better to remain silence."
#Ni ushauri tu
source Facebook page yake