Hahaha wanavuna walichopanda.Tena kama huyo wa kilwa kusini ndo kabisaaaa hakushinda hilo jimbo amshukuru DED........ Bora yule wa kaskazini ameshinda kihalali kabisaaaa
Hahaha wanavuna walichopanda.Tena kama huyo wa kilwa kusini ndo kabisaaaa hakushinda hilo jimbo amshukuru DED........ Bora yule wa kaskazini ameshinda kihalali kabisaaaa
Akitukama mkuu wa mkoa, atawekwa rumande kiulaini kabisa!! LAbda awe Mkuu wa mkoa feki!Mbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa
DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo
Source: ITV habari
Ramadha Kareem!
Yaan Sisi wananchi ndio tunawadharau sana kuliko huyo DED wenu.DED anajua ninyi sio wabunge halali ni wabunge wa kutangazwa kwa mtutu wa Bunduki. Hakuna Wakati taifa hili limenajisiwa kama awamu ya mzee wa Phd fake.Mbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa
DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo
Source: ITV habari
Ramadha Kareem!
Wanunue na mapanga kabisa wamalizane
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 umeacha historian nchi hii. Mara walioiba kura kufa ,mara walioiba kura kudharau walioshinda kura. Ni vituko tupuMbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa
DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo
Source: ITV habari
Ramadha Kareem!
Mzee wa Phd fake, wabunge Fake, wateule wake Wakuu wa Mikoa vyeti fake, akina kigwangala fake......yaani awamu ya tano mavi matupuYaan Sisi wananchi ndio tunawadharau sana kuliko huyo DED wenu.DED anajua ninyi sio wabunge halali ni wabunge wa kutangazwa kwa mtutu wa Bunduki. Hakuna Wakati taifa hili limenajisiwa kama awamu ya mzee wa Phd fake.
The man was really Idiot.
And even his death was caused by his idiot.
Mapolisi ndio usiseme. Huku mtaani mara kapata ajali mara kapata stroku....yaami vurugu tupu. Corona ikawa inachagua tu.😅😅Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 umeacha historian nchi hii. Mara walioiba kura kufa ,mara walioiba kura kudharau walioshinda kura. Ni vituko tupu
Uko wapi ushahidi ? Alafu hapo hakuna tusi Kama yy ni mteule wa Rais , tatizo ni nini sasa ?Pamoja na ushahidi wa waliotukanwa wewe unaona ni majungu?!
Wapinzani wametuchelewesha sana. Sasa tupo wenyewe tunaimba LEGACY LEGACY LEGACY! kama hayawani????Mbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa
DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo
Source: ITV habari
Ramadha Kareem!
Wapuuzi hawa wanageukana baada ya kuiba kura za wananchiMbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa
DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo
Source: ITV habari
Ramadha Kareem!
Aibu kubwa sn mkuuWapinzani wametuchelewesha sana. Sasa tupo wenyewe tunaimba LEGACY LEGACY LEGACY! kama hayawani????
Hàaa kumbe ally kasinge ni mbunge???Mtoa mada nikurekebishe, Kilwa tuna majimbo mawili, kusini na kaskazini.
Jimbo la kilwa kaskazini linaongozwa na Francis kumba ndulane, jimbo la kilwa kusini linaongozwa na Ally kasinge......... Sasa huyo mh. Sangu sijui ni wa wapi.
Ndio haoHao si ndio maharamia na waratibu wa wasiojulikana?
NdioHàaa kumbe ally kasinge ni mbunge???
Kwani hawawajui ni akina nani? na wanafanya kazi ganiMbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa.
DED ametukana madiwani mbunge na mkuu wa mkoa tena anatamba kuwa yeye ni mteule wa Rais hivyo hawawezi kumfanya lolote kwahiyo mbunge huyo amemtaka waziri Ummy Mwalimu kumchukulia hatua kali kijana wske huyo.
Chanzo: ITV habari
Ramadha Kareem!
Duh, haki ya nani dish la johnthebaptist limecheza tena wacha tumpeleke Mirembe! Sangu mbunge wa Kilwa? Kazi kweli kweli! Tangu kifo cha Jiwe dish lake huyu jamaa halijakaa sawa tunapata taabu sana!Mbunge wa Kilwa mh Sangu amesema mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa anajifanya mungumtu na anawadharau viongozi wote wa wilaya hadi mkoa.