kwa hiyo hautaki kuamini kwamba nassari anaweza kumdhuru mtu kama alivyo funguliwa mashtaka?? kwani alivyopigwa alichukua hatua gani?? alifungua kesi polisi? au aliishia kusema sema ovyo kutafuta umaarufu tu?? i expected and still i am expecting something of reasonable approach from a person like you who have been here much longer than me to snap amd understand the game!!!Kwani wewe hukusikia kwamba Nasari alipigwa Monduli akalazawa hospitali? Sasa kosa lake yeye ni kupigwa? Murji wa Mtwara kashitakiwa kwa sababu ya kupinga ufisadi wa gesi unategemea magamba wamuache?
Yupo chini ya ulinzi kwa kuwashambulia watu asiowafahamu...................... kweli ccm choka mbaya..
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Nasari S. Joshua amekamatwa na Polisi.
Ni baada ya kupigiwa simu na Issaya Mngulu kuwa anahitajita Polisi na alipofika akaambiwa na RCO kuwa yuko 'under arrest' kwa tuhuma za kushambulia watu huko Monduli na hajaambiwa ni watu gani aliowashambulia...
Nawasilisha...
kwa hiyo hautaki kuamini kwamba nassari anaweza kumdhuru mtu kama alivyo funguliwa mashtaka?? kwani alivyopigwa alichukua hatua gani?? alifungua kesi polisi? au aliishia kusema sema ovyo kutafuta umaarufu tu?? i expected and still i am expecting something of reasonable approach from a person like you who have been here much longer than me to snap amd understand the game!!!
Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Nasari S. Joshua amekamatwa na Polisi.
Ni baada ya kupigiwa simu na Issaya Mngulu kuwa anahitajita Polisi na alipofika akaambiwa na RCO kuwa yuko 'under arrest' kwa tuhuma za kushambulia watu huko Monduli na hajaambiwa ni watu gani aliowashambulia...
Nawasilisha...
Mkuu TECH WIZ jana kulikuwa na mjadala wa nini?Hamjawajua CCM bado?Wanataka kuhamishia attention ya Watanzania kuhusiana na mjadala wa jana Arusha!Hakuna kesi kule ila wanafanya hivyo makusudi kuwasahaulisha Watanzania kutokana na aibu ya jana.Wapuuzeni tusiingie katika mtego wao.
Alikuwa na Silaha gani mpaka akashambulia watu huko Monduli? ni watu gani walioshambuliwa na Nassari na kama walienda kushtaki? Ama kweli kila kukicha kuna mamboMbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Nasari S. Joshua amekamatwa na Polisi.
Ni baada ya kupigiwa simu na Issaya Mngulu kuwa anahitajita Polisi na alipofika akaambiwa na RCO kuwa yuko 'under arrest' kwa tuhuma za kushambulia watu huko Monduli na hajaambiwa ni watu gani aliowashambulia...
Nawasilisha...
Mkuu Mungi hasira yao kuu ni kukosa kura Arusha.Wanapoteza muda wao
Nenda kachukue buku saba yako Lumumba.
tunaongoza nchi kwa utaratibu sio chadema wa hovyo