Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Baada ya kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika kusakata soka mbunge mtogo kabisa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo mh Joshua Nasari, klabu ya yanga imeanza mazungumzo na nyota huyo machachali lengo ni kuhakikisha wanalipa zile goli tano kwani mipango yao ya kumsajiri Okwi imekwama..