GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Rais wa Yanga leo tarehe 11/11/2023 ameonana na mmiliki wa kaiza Chief bwana kaizer Motaung na kufanya majadiliano kwa kina
Eng Hersi pia amehudhuria dabi ya Soweto ya Afrika kusini kati ya orlando Pirates na kaizer Chiefs
Katika mazungumzo yao Eng Hersi yupo kwa ajili ya kumsajili kiungo mshambuliaji Elie Mpinze pamoja na mshambuliaji wa kati Ranga Chivaviro
Akiwa uwanjani leo Eng Hersi ameisapoti Kaizer chief katika mchezo uliokamilika kwa Orlando Pirates kushinda goli moja
Mpira wa Tanzania sasa unazidi kukua na kuwavutia wachezaji pande zote za Afrika kusini, Magharibi na kaskazini
Hongera Eng Hersi wa Yanga kwa kuonesha kuwa soka la kutegemea waganga wa kienyeji limekwisha na sasa soka ni usajili na mahesabu
Kuna kitu cha kujifunza kwa Eng Hersi katika mabadiliko ya mpira Tanzania ,
Eng Hersi pia amehudhuria dabi ya Soweto ya Afrika kusini kati ya orlando Pirates na kaizer Chiefs
Katika mazungumzo yao Eng Hersi yupo kwa ajili ya kumsajili kiungo mshambuliaji Elie Mpinze pamoja na mshambuliaji wa kati Ranga Chivaviro
Akiwa uwanjani leo Eng Hersi ameisapoti Kaizer chief katika mchezo uliokamilika kwa Orlando Pirates kushinda goli moja
Mpira wa Tanzania sasa unazidi kukua na kuwavutia wachezaji pande zote za Afrika kusini, Magharibi na kaskazini
Hongera Eng Hersi wa Yanga kwa kuonesha kuwa soka la kutegemea waganga wa kienyeji limekwisha na sasa soka ni usajili na mahesabu
Kuna kitu cha kujifunza kwa Eng Hersi katika mabadiliko ya mpira Tanzania ,