johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Mbunge wa CCM ambaye hakutaka Jina lake litajwe amesema pale Bungeni likiletwa jambo muhimu ni lazima Wabunge wa CCM tukutane na kujadiliana hadi kufikia mwafaka wa pamoja
Tunaporudi bungeni inakuwa ni kukamilisha Utaratibu tu
Mbunge huyo amesema usidanganyike na kelele za Wabunge wetu mule bungeni mengi huwa ni maigizo tu
Mlale unono!
Tunaporudi bungeni inakuwa ni kukamilisha Utaratibu tu
Mbunge huyo amesema usidanganyike na kelele za Wabunge wetu mule bungeni mengi huwa ni maigizo tu
Mlale unono!