johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,928
Mbunge wa Buchosa, Shigongo amesema Serikali ni sikivu na yeye kama Mbunge ameshawasiliana na Rais wa JMT ili aziangalie kwa upya hizi tozo za miamala ya simu.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nawasalimu kwa jina la JMT!