Mbunge: SGR itajengwa kwa miaka 81

Aliyesema tuna Raisi Mshamba hakukosea... Yale Masifa ya Mwendazake sijaona Mradi ulioisha zaidi ya Kuchangishwa Madawati
Huna macho ya kuona,
Hata ivyo palikuwa na miaka mitano Tena Kama Mungu angempa angefanya zaidi ya hayo pengine ungeweza kuona,
Haya kakwachia sasa, tuone nawe utafanya Nini.
Unafikiri watu walimsifia bureee..
 
Hayati ilikuwa lazima atukabe na kutupora, ngoma ni ngumu! tupambaneni tu tumalize hata kama ni kidogo kidogo.
Ilipaswa Dar Morogoro ifanye kazi, ili ianze kupunguza mzigo, lakini, sijui mwendazake Alibaba iishe yote kwa wakati mmoja, ili azindue apande treni ya kwanza yeye, Dar Mwanza! Tena angetaka kuiendesha yeye kabisa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 

Unfortunately, Tanzania haitawezekana hadi watu kama kina Bakhresa watakapotambuliwa na kuheshimiwa kama wawekezaji binafsi Watanzania. Na sio “wapiga dili”.

Harassment aliyopata Bakhresa mwanzoni mwa awamu ya 5 haitoi confidence kwa sekta binafsi nchini kushiriki kwenye shughuli kubwa za kiuchumi za kitaifa.
 
Ungekamilika Kama ilivyo kamilika miradi mingine iloyosimamiwa na huyo huyo inaemwita fisadi ,mwizi na mzembe., ..
 
Pamoja na kuficha hasara(Kama Ni kweli, maana haya yamefikiriwa na akili yako kwa msaada wa CAG binadamu),
Lakini kazi aliyoifanyia taifa hili watanzania na afrika nzima tumeiona..
 
Huyo mbunge mpumbavu sana yeye mwenyewe nyumba yake kajenga kwa miaka saba na haijaisha
Iko hivi ukitaka kujenga nyumba ya milioni 200
Ukisubiria upate milioni 200 kwa mkupuo hautajenga nyumba kamwe
 
Pamoja na kuficha hasara(Kama Ni kweli, maana haya yamefikiriwa na akili yako kwa msaada wa CAG binadamu),
Lakini kazi aliyoifanyia taifa hili watanzania na afrika nzima tumeiona..
Hitler kwa miundombinu aliyojenga ujerumani ndani ya miaka mitatu ya utawala wake kwa uongozi wa sasa hivi wa ujerumani ilihitajika miaka 30 kujenga miundombinu hiyo,lakini Hitler katika historia huko huko Ujerumani na duniani kwa ujumla anadharaulika sana kama kiongozi wa hovyo wa ujerumani kuwahi kutokea.Unapaswa kujua kuwa kuongoza watu siyo kujenga miundombinu!
 

Usimkashifu CAG. Huyu ni uteuzi mahsusi wa Hayati mwenyewe toka TANROADS ili kufunika “fitna” zilizokuwa zikiletwa na Assad. Hayati angekuwepo, habari ingekuwa nyingine.

Bahati mbaya binadamu “sio watu”. Ukishapoteza sauti, ni nadra wakasumbuka kukusitiri. Na ikiwa Tanzania ndio balaa kabisa. Kumbuka: You're Lonely When You're Dead - James Hadley Chase.
 
Hatuwezi kuonesha humu jamii forum,!!!!?
Nipe namba yako ya simu, nikutafute, nikuzungushe nchi nzima nikikuonesha miradi hiyo, ikiwemo ya chato, tuone Kama utarudi humu jamii forum kuendelea kubisha....
 
Hatuwezi kuonesha humu jamii forum,!!!!?
Nipe namba yako ya simu, nikutafute, nikuzungushe nchi nzima nikikuonesha miradi hiyo, ikiwemo ya chato, tuone Kama utarudi humu jamii forum kuendelea kubisha....
Hitler kwa miundombinu aliyojenga ujerumani ndani ya miaka mitatu ya utawala wake kwa uongozi wa sasa hivi wa ujerumani ilihitajika miaka 30 kujenga miundombinu hiyo,lakini Hitler katika historia huko huko Ujerumani na duniani kwa ujumla anadharaulika sana kama kiongozi wa hovyo wa ujerumani kuwahi kutokea.Unapaswa kujua kuwa kuongoza watu siyo kujenga miundombinu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…