haya ndio matatizo ya ndugu zangu wachaga,badiliken ndugu zangu! Hela zote anataka yeye, looh!!!
Wewe mgogoro wako ni makabila na si bidhaa feki wala sheria za usalama barabarani......
Kwa sasa naendelea kumtakia Afya njema.Mungu ampe Faraja yeye na familia zilizokumbwa na Msiba
kwani gamba chenge, aliyeendesha gari bila bima, akiwa amelewa chakari , akaua watu wawili alihukumiwa kwenda jela miaka mingapi?
Mkuu we ndiyo Deus nini?
Ndio maana mm nikasema inategemea taarifa ya polisi make waliokufa ni ndugu zake je ndugu zake watafungua kesi kumuhukum 30 ndugu yao? na pia tusisahau huyu ni Mbunge mwakilishi wa watu, je watu wake watakubali ateseke na wao wateseke ukizingatia alimwangusha jabali gamba mramba kweye ubunge pia sasa ni mremavu,so kuna mambo mengi ya kuitaji consideration?