Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
SALAAM!
Inakumbukwa kuwa Mhe.Joseph Selasini Mbunge wa Rombo alipata ajali mbaya ya gari na watu watatu kupoteza maisha akiwemo mama yake Mzazi... Hapa nataka kujua kama ile ile hatua iliyochukuliwa kwa Mr.Deus Mallya aliyetuhumiwa kuendesha kwa kasi na kusababisha kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Tarime Marehemu Chacha Wangwe itachukuliwa kwa Mhe.Selasini?? Sheria ina wakubwa na wadogo?
Inakumbukwa kuwa Mhe.Joseph Selasini Mbunge wa Rombo alipata ajali mbaya ya gari na watu watatu kupoteza maisha akiwemo mama yake Mzazi... Hapa nataka kujua kama ile ile hatua iliyochukuliwa kwa Mr.Deus Mallya aliyetuhumiwa kuendesha kwa kasi na kusababisha kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Tarime Marehemu Chacha Wangwe itachukuliwa kwa Mhe.Selasini?? Sheria ina wakubwa na wadogo?