Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
Hivi kwanini sisi watanzania tunaona kufunga mkanda kama ni kuwafurahisha polisi tu?
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
Ee Mungu tunakuomba kwa ajili ya rehema kwa uliowaita kwako kupitia ajali hiyo, tunakuomba pia kwa ajili ya afya ya Mh. JS. Kwako wewe yote yawezekana. Amen.