Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Mungu akutie nguvu,upone haraka
pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh
wewe wa wapi? mdogo wake masumbuko lamwai kafanyaje?
Tunamuombea
Mbunge wa Rombo, Mhe. Joseph Selasini kapata ajali mbaya sana muda si mrefu.
Ajali hiyo imemtokea akiwa safarini toka Arusha kwenda Rombo na ni eneo la Bomang'ombe mjini.
Watu watatu akiwemo mamake mzazi wamekufa papo hapo.
Mhe. Selasini amepekimbizwa Hospitali ya wilaya ya Hai pale Bomang'ombe; hali yake si nzuri.
Hicho ni kijembe au nini? Akishakuwa na Ipad (hongera kuwa wewe unayo), inatosha kujifungia ndani na kupanga hjizo strategies?pole mbunge wangu ...lakini hivi kwanini mnapenda kuzurura bana..hivi hamna ipad muwe mnakaa mnasoma vitu na kuplot stratergies za kutatua matatizo ya wananchi ...aghhh