Mbunge Saasisha apendekeza Serikali iweke siku maalum ya Magufuli Day

Madhara ya mimba za guest, mitoto haiwezi kuwa na akili zao, hata ujinga kwao ni umaridadi.... wengine wanatamani hata kwenye kumbukumbu asiwepo kabisa, chagga moja linatapika utopolo bungeni
 
Hivi Hawa wabunge wataacha lini kufikiri kwa kutumia MAKALIO?
 
kwa mazuri niliyo fanya kijijini kwetu. Natumai wananzengo kuomba kuwe na Kasomi day
 
RPC wa Moshi, Mkurugenzi NEC na Sabaya wafungwe kwa kuleta hii takataka.
 
Hii ndio shida ya watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi ila walipelekwa bungeni kwa ubabe wa Magufuli. Iko siku watataka nchi iitwe Republic of Magufuli. Wajinga ni wengi sana kwenye bunge la sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…