Mbunge Nyalandu yuko wapi?

Mbunge Nyalandu yuko wapi?

Na Samuel Sitta, siasa ni kupanda na kushuka....hawavumi lakini wamo
 
We unajua kabisa kaenda kwenye harusi halafu unatuuliza humu, kama unafiki fulani vile.
 
Wanajanvi,

Japokuwa vikao vya Bunge serikali imedai hawataweza kutuonyesha live kutokana na ufinyu wa bajeti lakini wameamua kutuonyesha kiduchu.

Naomba kuuliza je aliyekuwa Waziri wa Mali Asili na Utalii kwenye awamu ya Kikwete yuko wapi? Bungeni haonekani au naye ana adhabu kama wabunge kama kina Tundu Lisu?

Nawasilisha!
1465473854541.jpg
 
Mkuu usidanganyike kuwa bunge kutoonekana live ni ufinyu wa bajeti, la hasha! Wamekataza hata media binafsi zilizo kuwa tayari kurusha mijadala ya bunge!.
Nia yao ni kuwaficha wabunge wachapa usingizi bungeni badala ya kuchangia mijadala ya kimaendeleo
 
Nyalandu hakuwahi kuwa na muda bungeni alikuwa anaonekana pale tu bajeti ya wizara yake inaposomwa, yuko busy kuwinda tembo na kuingia ubia wa kumaliza rasilimali zetu na wazungu.
1465474150661.jpg
 
Nyalandu hakuwahi kuwa na muda bungeni alikuwa anaonekana pale tu bajeti ya wizara yake inaposomwa, yuko busy kuwinda tembo na kuingia ubia wa kumaliza rasilimali zetu na wazungu.
Nasikia eti wadada warembo Wa bongo muvi walikuwa na bahati ya kutangaza utalii Wa Tanzania majuu wakiambatana na Mh
 
Wanajamvi, toka awamu hii ya tano ianze mchakamchaka na kasi ya speed ya HAPA KAZI TU, sijamtia machoni ndugu yangu na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Mh Lazaro Nyarandu.

Ninakumbuka pia aliwahi kuwa miongoni wa mwakada 40 wa CCM waliojitosa kuingia kwenye kinyang'anyilo cha Urais mwaka 2015.

Mwenye taarifa za huyu ndugu yetu atujuze:

Cc: Lizaboni.
 
hata mimi ninamuhulizia frome that time i don't see him.
auntwww.jpg

swissme
 
Hivi ajali ya Filikunjombe ilishafanyiwa Uchunguzi? au waliamini ni ajali tu basi, Ile helikopta ililipuliwa angani katika mbuga za wanyama na Nyalandu alionekana akiwa anahaha sana kutuma vikosi vya uokozi etc! mh.
 
Ni kweli huyu jamaa ubunge alishinda, na ni wa chama tawala lakini mkulu ni kama haelewi.
 
Hivi ajali ya Filikunjombe ilishafanyiwa Uchunguzi? au waliamini ni ajali tu basi, Ile helikopta ililipuliwa angani katika mbuga za wanyama na Nyalandu alionekana akiwa anahaha sana kutuma vikosi vya uokozi etc! mh.
hizi ni tuhuma kubwa sana! unaushahidi wa kutosha DPP afungue mashtaka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom