Mbunge Ngassa: Wananchi mpo salama kwenye mikono ya Chama cha Mapinduzi

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
741
479
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa amewasii wakazi wa Jimbo la Igunga wasiteteleke kwa kauli mbalimbali za upotoshaji kuhusu maendeleo na kuwahakikishia kuwa chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wapo mikono salama na waendele kupokea miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kupitia Ilani ya CCM.

Mheshimiwa Ngassa (MB) ametoa rai hiyo wakati akiongea na Wananchi kwenye mikutano aliyofanya kwenye Vijiji na Vitongoji vya Kata ya Kinungu.

"... Kinungu Tumeleta Umeme, Tumeleta Barabara, Tumeleta maji ya visima na sasa Mnajiandaa kupokea Maji ya Ziwa Victoria kutoka mradi unaotekelezwa kwa Shilingi Bilioni Ishirini (Tshs 20,000,000,000/=) kutoka kwenye Tenki linalojengwa Mlima wa Bulenya, Watoto wanasoma Elimu bila Ada na Tumeongeza upatikanaji wa madawa na vifaa tiba kwenye vituo vya afya na zahanati za vijijini. Haya ndio maendeleo tuliyoahidi Mwaka 2020 kwenye kampeni na tunaendelea kutekeleza..."

Wananchi wamejitokeza kwa wingi kusikiliza taarifa ya utekekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuwasilisha kero mbalimbali zilizopata ufumbuzi kutoka Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga.

IMG-20230711-WA0101.jpg
 
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa amewasii wakazi wa Jimbo la Igunga wasiteteleke kwa kauli mbalimbali za upotoshaji kuhusu maendeleo na kuwahakikishia kuwa chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) wapo mikono salama na waendele kupokea miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kupitia Ilani ya CCM.

Mheshimiwa Ngassa (MB) ametoa rai hiyo wakati akiongea na Wananchi kwenye mikutano aliyofanya kwenye Vijiji na Vitongoji vya Kata ya Kinungu.

"... Kinungu Tumeleta Umeme, Tumeleta Barabara, Tumeleta maji ya visima na sasa Mnajiandaa kupokea Maji ya Ziwa Victoria kutoka mradi unaotekelezwa kwa Shilingi Bilioni Ishirini (Tshs 20,000,000,000/=) kutoka kwenye Tenki linalojengwa Mlima wa Bulenya, Watoto wanasoma Elimu bila Ada na Tumeongeza upatikanaji wa madawa na vifaa tiba kwenye vituo vya afya na zahanati za vijijini. Haya ndio maendeleo tuliyoahidi Mwaka 2020 kwenye kampeni na tunaendelea kutekeleza..."

Wananchi wamejitokeza kwa wingi kusikiliza taarifa ya utekekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuwasilisha kero mbalimbali zilizopata ufumbuzi kutoka Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga.

View attachment 2684838
Alaaaa, kumbe!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom