Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,902
- 944
Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa, Leo tarehe 5 Julai, 2023 amekabidhi matofali na mifuko ya saruji kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Igunga.
Mheshimiwa Ngassa (MB) anaendelea na programu ya ujenzi wa Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Kata Kumi na Sita za Jimbo la Igunga.
"KAZI NA MAENDELEO"
Imetolewa na:
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Igunga