Mbunge Ngassa: Hongera Rais Dkt. Samia, Hongera CCM

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944

MBUNGE NGASSA: "HONGERA RAIS DKT. SAMIA, HONGERA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)"

" .... Jana Wizara ya Nishati, Waliwasha Mtambo namba 9 kwenye Bwana la Umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kwa ajili ya kuingizi Megawati 235 kwenye Gridi ya Umeme ya Taifa. Leo Wizara ya Uchukuzi kupitia Shirika la Reli (TRC) imefanya majaribio ya Treni ya kisasa kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro (SGR)..."

"... Tunatoa pongezi zetu kwa Rais Wetu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha Miradi hii mikubwa ya kielelezo na kimkakati inakamilika kwa wakati. Miradi yenye tija kubwa kwenye kukuza uchumi wa Nchi na kuongeza pato la Taifa..."

"... Wananchi wa Jimbo la Igunga, Tunampongeza Rais Wetu, Tunakipongeza Chama Chetu, Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa utekekelezaji madhubuti wa Ilani ya Uchaguzi..."

NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-02-26 at 15.12.57.jpeg
    WhatsApp Image 2024-02-26 at 15.12.57.jpeg
    426.2 KB · Views: 4

MBUNGE NGASSA: "HONGERA RAIS DKT. SAMIA, HONGERA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)"

" .... Jana Wizara ya Nishati, Waliwasha Mtambo namba 9 kwenye Bwana la Umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kwa ajili ya kuingizi Megawati 235 kwenye Gridi ya Umeme ya Taifa. Leo Wizara ya Uchukuzi kupitia Shirika la Reli (TRC) imefanya majaribio ya Treni ya kisasa kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro (SGR)..."

"... Tunatoa pongezi zetu kwa Rais Wetu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha Miradi hii mikubwa ya kielelezo na kimkakati inakamilika kwa wakati. Miradi yenye tija kubwa kwenye kukuza uchumi wa Nchi na kuongeza pato la Taifa..."

"... Wananchi wa Jimbo la Igunga, Tunampongeza Rais Wetu, Tunakipongeza Chama Chetu, Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa utekekelezaji madhubuti wa Ilani ya Uchaguzi..."

NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA
Kumbe nyie ndio wabunge 😂😂😂
 
Unampongezaje Rais Samia kwa maneno Mengi hivyo bila kutaja Mchango wa Hayati Dr John Magufuli?

MBUNGE NGASSA: "HONGERA RAIS DKT. SAMIA, HONGERA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)"

" .... Jana Wizara ya Nishati, Waliwasha Mtambo namba 9 kwenye Bwana la Umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kwa ajili ya kuingizi Megawati 235 kwenye Gridi ya Umeme ya Taifa. Leo Wizara ya Uchukuzi kupitia Shirika la Reli (TRC) imefanya majaribio ya Treni ya kisasa kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro (SGR)..."

"... Tunatoa pongezi zetu kwa Rais Wetu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha Miradi hii mikubwa ya kielelezo na kimkakati inakamilika kwa wakati. Miradi yenye tija kubwa kwenye kukuza uchumi wa Nchi na kuongeza pato la Taifa..."

"... Wananchi wa Jimbo la Igunga, Tunampongeza Rais Wetu, Tunakipongeza Chama Chetu, Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa utekekelezaji madhubuti wa Ilani ya Uchaguzi..."

NICHOLAUS GEORGE NGASSA
MBUNGE WA JIMBO LA IGUNGA
 
Back
Top Bottom